sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,122
- 4,231
End game.Sioni EL kama ataenda kinyume na CCM.Lakini bila Lowassa kwenye headline Jamii forum itapwaya Lowassa alikuwa mtaji kwenye press.Usishangae wazushi wakazidi kumsakama kana kwamba yeye ndio kikwazo cha maendeleo ya Taifa letu japo aliachia uwaziri mkuu miaka 8 iliopita.