GE2025 Kukatishwa ghafla kwa Mkutano wa CCM, Makala aliwekewe majina "feki"

GE2025 Kukatishwa ghafla kwa Mkutano wa CCM, Makala aliwekewe majina "feki"

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,192
Reaction score
99,924
Habari nilizopata muda huu ni kwamba, Kikao hewa cha Makala kutangaza Majina feki ya wagombea feki kilikatizwa ghafla baada ya kutonywa kuwa :"Mkeka" aliokua anatakiwa KUSOMA ulikua sio wenyewe uliokuwa umeandaliwa....

Aliyeuza cheni feki kapewa pesa feki, Ngoma droo. haya majitu ni majizi proMax
 
Habari nilizopata muda huu ni kwamba, Kikao hewa cha Makala kutangaza Majina feki ya wagombea feki kilikatizwa ghafla baada ya kutonywa kuwa :"Mkeka" aliokua anatakiwa KUSOMA ulikua sio wenyewe uliokuwa umeandaliwa....

Aliyeuza cheni feki kapewa pesa feki, Ngoma droo. haya majitu ni majizi proMax
Acha ramli
 
Habari nilizopata muda huu ni kwamba, Kikao hewa cha Makala kutangaza Majina feki ya wagombea feki kilikatizwa ghafla baada ya kutonywa kuwa :"Mkeka" aliokua anatakiwa KUSOMA ulikua sio wenyewe uliokuwa umeandaliwa....

Aliyeuza cheni feki kapewa pesa feki, Ngoma droo. haya majitu ni majizi proMax
Chichiemu kuchele😂😂😂
 
Kwa UJINGA kama huu alafu tutegemee kupata maendeleo chini ya CCM ?
CCM ni laana haswaaaaa
 
Back
Top Bottom