Kukataliwa na wanawake wazuri

Kukataliwa na wanawake wazuri

umeshafeli

watoto wazuri wanapenda mtu ambae anaweza kuwa ignore
ukiwa nao jifanye kama huoni huo uzuri wao..
wakikupa namba usipige..kaa kimya kama wiki hivi
halafu ukipiga ni mara chache sana huku unaongea cha maana
sio kupiga kusalimia tu
He hee kumbe ee... Hapa ni sawa umeuza ramani ya vita kwa adui
 
Kama upo daresalaam Fika sehem moja inaitwa manzese uwanja Wa fisi au Rambo hotel Wanawake wazuri wako hapo sema nao.
Huenda sehem unazokutana na hao wazuri si sahihi
Fika ayo maeneo
EXPRESS YOUR SELF
 
Pole sana,
Usioneshe kumthamini sana demu Mchukulie Poa ndiyo style ya kuwapata
Lakini pia Jiangalie vizuri,
1.Perfume
2.Pesa
3.Mavazi
4.Mashine(Gari)
5.Mtoko wa Maana(Outing)
 
Kama upo daresalaam Fika sehem moja inaitwa manzese uwanja Wa fisi au Rambo hotel Wanawake wazuri wako hapo sema nao.
Huenda sehem unazokutana na hao wazuri si sahihi
Fika ayo maeneo
EXPRESS YOUR SELF
Acha ushauri waki-bata wewe
 
Kweli kweli...
umeshafeli

watoto wazuri wanapenda mtu ambae anaweza kuwa ignore
ukiwa nao jifanye kama huoni huo uzuri wao..
wakikupa namba usipige..kaa kimya kama wiki hivi
halafu ukipiga ni mara chache sana huku unaongea cha maana
sio kupiga kusalimia tu
 
Heshima kwenu wakuu,

Nimekuwa nikisumbuliwa na kasumba moja ili mbaya sana, maana kila mwanamke mwenye kuweza kutimiza haja zangu kila nikimtongoza lazima anikatae. Kwa mda sasa nimekuwa nikichagua machaguo yasiyo halali yangu na kuishia kuachana maana ninayempenda hanipendi mimi. Sasa najiuliza sijui ndo hii sura yangu iliyo na ukakasi wa kukataliwa ama sijui ni kitu gani.

Naombeni ushauri wenu maana imefikia mda nimechoka sasa, wanawake wanaonipenda mimi kwangu nawaona hawana mvuto kabisa, ila ninaemhitaji/kumpenda ndo kwanza hata salamu tu hataki.
Utalazimishaje kununua gari la 200mil,wakat wew una 9mil.........PESA INAONGEA,TAFUTA PESA,watatulia
 
Siku zote Hupati unachotaka unapata unachostahili. PiaTatizo ni ligi uliyopo.

Kawaida Mtu wa ligi ndogo huwezi endana na wa ligi soo. Labda itokee ngekewa tu
Na siku hz hakunaga ngekewa,utaishia kuziona kene muvi,hata watot wakshua sku hz wanapenda washkaj wenye pesa
 
jaribu kuchungulia nyota, huenda nyota pia ni tatizo kwako, ila shida kama itakuwa nyota jaribu jua..😀😀😀 in diamond voice
 
Back
Top Bottom