Aisee duh! Shukrani kwa ushauri wako.solution:
1. Tafuta hela utawapata hadi unaowaona kwny tv au
2. Shusha standard zako kdgo kdgo kdgo mpaka ukianza kukubaliwa hyo ndio level yako au
3. Tafuta kuwapata hao wazuri kwa saikilojia ya kutowababaikia na nynginezo ikiwemo maombi
KutohongaKivipi sasa Mkuu?
huna lolote, unaji advatize au?Kuna wengine Nao huogopa ,, Mfano humu JF kuna Demu Kaniogopa Kabisa yaani nilipomsifia tu baada ya kutuma picha Whatsup nikamwambia Atume zingine nifaid uzuri wake Akajua na jokes Si ndo kasepa jumla Nimecheka saana,,Sio kila anaye kukataa Hakupendi wengine Wanaogopa na kujiona sio level zako,,
Au ni wewe ndo ulituma pic Whstup,, Ni ukweli au unataka niweke maongezi yetu?huna lolote, unaji advatize au?
jst a question
So niacha niongee nilichokutana nacho ,,Kwanza hata mimi nilishangaa Mwanamke kujishitukia? Mpaka sasa bado sijamini Huyo STUNER wako ? Ndo Anamiliki?
HahahhahahahahaSo niacha niongee nilichokutana nacho ,,Kwanza hata mimi nilishangaa Mwanamke kujishitukia? Mpaka sasa bado sijamini Huyo STUNER wako ? Ndo Anamiliki?
Mbona unamaneno mengi We Pwani nini?Najitambua ndo maaana![]()
![]()
![]()
Mbona unamaneno mengi We Pwani nini?