Kukataliwa na wanawake wazuri

Kukataliwa na wanawake wazuri

Mbona wanawake wote ni wale wale tu
Ukimuona ni mrembo sana na kumtetemekea ujue ni jini
 
Inayegemea unahitaji demu wa kuoa au kugegeda, kama ni kugegeda tu tumia pesa lakin kama kuoa labda sio type zako au huongei maneno mingi.
Nimekuelewa sana Mkuu. Asante.
 
Kama pesa hainukii,.
Na sura haivutii,
Huwezi kuwa na maarifa ya mapenzi Bali maarifa ya jamii....
 
{VERSE ONE}
OTILE BROWN
Saa zingine anayekupenda humpendi
Unapenda mwingine
Anayependa mwingine hata asiye mpendanga
Na kila mtu anataka type yake
Saa zingine hata wale wenye hadhi na sisi tunawakataanga

[CHORUS]
Alivyonipenda yule, alivyonipendanga
Alivyonipenda yule, sikujali nikamuaga
 
Nahitaji mwanamke mwenye mvuto na tabia nzuri.
Ni adimu sana kumpata na vigezo hivi vyote kwa pamoja, mrembo ana wanyatiaji wengi hivyo hujikuta wanafoleni/ chain ndefu.
Dunia ya sasa kumpata mrembo na aliyekamilika kila idara akabaki na tabia njema ni sawa na kutafta samaki nchi kavu.
Kama ni kutumia tu hapo sawa...lkn pia ikimbie zinaa, mpende akupendae na utaishi kwa raha, vinginevyo naona unaivuta presha kwa kamba..japo nafikiri unatania tu emmyguy
 
Kuna wengine Nao huogopa ,, Mfano humu JF kuna Demu Kaniogopa Kabisa yaani nilipomsifia tu baada ya kutuma picha Whatsup nikamwambia Atume zingine nifaid uzuri wake Akajua na jokes Si ndo kasepa jumla Nimecheka saana,,Sio kila anaye kukataa Hakupendi wengine Wanaogopa na kujiona sio level zako,,
 
Ni adimu sana kumpata na vigezo hivi vyote kwa pamoja, mrembo ana wanyatiaji wengi hivyo hujikuta wanafoleni/ chain ndefu.
Dunia ya sasa kumpata mrembo na aliyekamilika kila idara akabaki na tabia njema ni sawa na kutafta samaki nchi kavu.
Kama ni kutumia tu hapo sawa...lkn pia ikimbie zinaa, mpende akupendae na utaishi kwa raha, vinginevyo naona unaivuta presha kwa kamba..japo nafikiri unatania tu EMMYGUY
 
umeshafeli

watoto wazuri wanapenda mtu ambae anaweza kuwa ignore
ukiwa nao jifanye kama huoni huo uzuri wao..
wakikupa namba usipige..kaa kimya kama wiki hivi
halafu ukipiga ni mara chache sana huku unaongea cha maana
sio kupiga kusalimia tu
Uko sahihi mi nawang'oa kila siku kwa hiyo mbinu... Demu akinipa namba katu siwezi kumtafuta siku hiyo hiyo!!
 
Back
Top Bottom