kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 831
Wakuu kutokana na shughuli zangu nimekuwa nikikuta na kila aina ya wanawake wazuri kiasi cha sasa kila mwanamke hata awe mzuri kiasi gani namuona wa kawaida sana sijaona mwanwmke wa kunitetemesha kiasi cha sasa wanawake wazuri wengi nawaona kama washikaji tu.
Wakuu natamani nitoke kwenye hii hali maana naona kama nawadharau sana mademu kuna demu mmoja mpangaji mpya ni mzuri sana ila mimi namdharau namuona kawaida sasa hii hali demu imeuuma ukizingatia wengi wanamshobokea sana ila mimi anaona sina shobo nae hadi anajiuliza sana maswali.
Wakuu natamani nitoke kwenye hii hali maana naona kama nawadharau sana mademu kuna demu mmoja mpangaji mpya ni mzuri sana ila mimi namdharau namuona kawaida sasa hii hali demu imeuuma ukizingatia wengi wanamshobokea sana ila mimi anaona sina shobo nae hadi anajiuliza sana maswali.