The Boss umemaliza
Inaonekana mtaalam wa viumbe sisi
Nipo nakufatilia apa mpk rahaupo mrembo?
Sanaa acha nikupe pongezi zakokidoogo tu sio sana
Nipo nakufatilia apa mpk raha
Kweli kabisa wape somo vijanaKaribu mrembo
its funny warembo mnapendwa kutokewa kwa style...
na watu wengi hawajui hiyo kitu...
Kweli kabisa wape somo vijana
siku zote binaadamu hawapendi vitu ambavyo ni too common kwao
hao wanawake wazuri wanakuona 'too common'
body language yako inaonesha tu 'unababaika' mno ukiwaona hao warembo
anza kujifunza kuwachukulia kawaida
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ana inferiority complex kwa warembo
Kabisa.....si ajabu maneno yanapotea akiona mrembo....
kumbe wenzie pengine nao wanajiuliza 'huyu mbona hazungumzi vya maana'

![]()
![]()
![]()
![]()
hajiamini aiseeh!
pole yake![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Labda anakutana nao posta wanamtisha
akija kukutana nao hao hao mbagala na Tandale
'atajiamini' kidogo.....
watu ni wale wale lakini wakiwa posta 'wanamtisha'
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hana gari wala tembo card master card ndo maana anaogopa!
hajui hakuna mkate mgumu mbele ya chai!