Kukataliwa na wanawake wazuri

Kukataliwa na wanawake wazuri

umeshafeli

watoto wazuri wanapenda mtu ambae anaweza kuwa ignore
ukiwa nao jifanye kama huoni huo uzuri wao..
wakikupa namba usipige..kaa kimya kama wiki hivi
halafu ukipiga ni mara chache sana huku unaongea cha maana
sio kupiga kusalimia tu
Umenifunza kitu hapo Asante Mkuu.
 
Your approach determines how you will be treated...man-up and be a real man!!!!!.bringing those kind of topics is an insult to real men
Asante Mkuu. Ngoja nikaze msuli.
 
ligi yako ni ya mchangani bado ujapanda jaraja ukipanda tu utawapata tu..kwa sasa cheza hukohuko mchangani..hahaha
Hahahaaa.... Mkuu ligi yangu ni kubwa mno, na sio kwamba wanawake hawanipendi wote ila ninayemhitaji mimi hanipendi bali napendwa na nisiovutiwa nao.
 
Back
Top Bottom