umeshafeli
watoto wazuri wanapenda mtu ambae anaweza kuwa ignore
ukiwa nao jifanye kama huoni huo uzuri wao..
wakikupa namba usipige..kaa kimya kama wiki hivi
halafu ukipiga ni mara chache sana huku unaongea cha maana
sio kupiga kusalimia tu


kwamba,, halloo, nakusalimia tuuMkuu sorry hiv nkitaka kutuma sms PM ntafanyaje coz nlitaka kukutumia nashindwakaribu anytime
Mkuu sorry hiv nkitaka kutuma sms PM ntafanyaje coz nlitaka kukutumia nashindwa
Nashukuru mkuuClick profile
halafu click walipoandika 'start a conservation'
utakuta mfukon hausomeki ndo maana..watoto wengi wazuri wanapenda chapaa sio longolongo....la sivyo utaendelea kuita shemej watoto wazuri.
Wanawake wAzuri wamwagie pesa![]()
![]()
![]()
![]()
Hapana Mkuu, sijawahi na sitegemei kama kuna siku nitatumia. Najiona niko vizuri physically appearance.
nipo..habari za masiku!Upo?

Aongeze na nyama ya mbuzi au kondoooWanawake wazur ndio wakoje hao.....??
ok Waiter zungusha tena![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hapana Mkuu, sijawahi na sitegemei kama kuna siku nitatumia. Najiona niko vizuri physically appearance.
Mwanaume asiejiamini ni janga, kabla haujafungua mdomo nishaondoa 85%.Bora mseme nyini wanawake labda 'watawasikia'