Hahaha ulaya kule anatetea haki za wale mamama. ...hujui Kwan I. ..lakini lakini akae akijua katika watanzania asisahau wamo wajomba zake madada zake kaka zake akiwemo yule mwanasheria bib I zake babu zake binamu zake..labda kama amewakana woteLisu anataka watanzania wapate tabu ila hilo ni Dua la kuku. Hivi huko ubeligiji anajishughulisha na nini