M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Wewe ndiwe unataja majina - mimi sijataja majina.Mfano wa uongozi sober ni upi nchini kwetu? Mbowe na genge lake? Acha utani mzee
Nachojua ni kuwa kuna viongozi sober wengi tu out there wazuri kuliko hawa machizi tulio nao sasa!