1 Dk Ulimboka alitekwa akangolewa kucha.Mkuu mimi niliposikia kuwa inasemekana kuwa Kikwete ni role model wa Mama SSH nikajua mambo yatakwenda vizuri kwa maridhiano na kustahamiliana kama enzi za uongozi wa Kikwete, kumbe sivyo kabisa !
Kikwete he is a gentleman ! Hakika anajua sana kufanyakazi na watu wenye hulka mbalimbali.
Mshauri wa Kikwete na Kikwete mwenyewe walijua sana ku-deal na watu wa Kaliba za aina zote wakiwemo Wapinzani kwa amani na utulivu.
Haya yanayoendelea naamini Mzee Kikwete hajaombwa ushauri.
Naye alisema asipoombwa ushauri atabaki kimya!
Mungu amuweke, InshaAllah.
Utawala dhalimu hautakiwi kusaidiwa na mtu, taasisi au nchi yoyote inayothamini utu wa mwanadamu. Unaonyimwa msaada ni utawala, siyo wananchi.Mwanasiasa anayeombea raia wa nchi yake wasipewe pesa kisa mwanasiasa mwenzie amemtenda isivyofaa hatufai watanzania .
Umechukia ehe,Mbowe ni mjinga saana hana tofauti wale walinzi wa usiku ambao sio binadamu bali ni wanyama ambao kazi yao ni kupiga makeleleUngetafuta jukwaa la wendawazimu, lingekufaa sana, na ungepata likes nyingi.
Unainua kinywa ambacho huwezi kukilinda hata kwa sekunde moja kuongea ujeuri namna hiyo. Utawaza lini usalama wa bara lako? Wakati huu ambapo mabara mengine yamepata nguvu za kiuchumi na kijeshi, mbongo haikushtui kuendeleza mambo yasiyo na tija kwa taifa. Mambo yaleyale ambayo yametudumaza hivi hata tunakuwa wanyonge na kituko duniani tunayashabikia kwa nguvu zote.
UOVU NA WAOVU MWISHO WAO NI MBAYA.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Haya maneno huwa mna copy kwa watu bila hata kuelewa maana yake, ukishaweka uhuru mipaka inakuwa ya kazi gani tena? uhuru wenye mipaka ndio udikteta tunaooneshwa na watawala wa CCM.Uhuru bila mipaka ni wendawazimu, Samia alijaribu kuweka uwanja huru kisiasa lakn maneno ya kejeli mnayomrushia imedhihirisha wazi kwamba anadili na watu wenye hulka za kiwehuwehu
Mnalialia nini sasa, si mlitamka hadharani kwamba huyu wa sasa atie maji kwenye nywele kujiandaa kunyolewa kwa wembe
Sasa wacha liwakute linalowastahili
Yeah, katiba mpya ni muhimu kabisa.Mabadiliko ni muhimu lakini si kwa staili ya huyu mpuuzi mbowe na genge lake chini ya MDUDE,huyu mpuuzi anajifanya kutaka katiba mpya wakati hata kakatiba kadogo tu ka chama amekinajisi hadi kuwa mwenyekiti wa kudumu shame in you all
Mipaka ya uhuru ni kutovunja sheria.Haya maneno huwa mna copy kwa watu bila hata kuelewa maana yake, ukishaweka uhuru mipaka inakuwa ya kazi gani tena? uhuru wenye mipaka ndio udikteta tunaooneshwa na watawala wa CCM.
Wacha sheria iweke hiyo mipaka, sio mnajiamulia nyie kuweka mipaka kwa mitazamo yenu, huo ni ujinga.
Yaa kama wewe ulivyoikubali hiyo dini uliyonayo sasa ,kwani ni ya baba ako au ni za watu wa njeUmaskini wa akili ni kitu kibaya sana. Yaani tunalazimika kuiga mambo fulani ili kuwaridhisha watu fulani ili tupate kitu fulani? Aaaaargh!
Sifa za kiseng tu! Tangu aanze kushitaki alishasikilizwa wapi?