Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,833
Usiku wa leo imesambaa taarifa kwamba Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi amejiuzulu kwa shinikizo baada ya kutoa maoni yake kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa Corona nchini.
Taarifa hizo zimekanushwa; Kwa mujibu wa barua hiyo inayoonesha Profesa Janabi amefanya kumkaimisha ofisi Dr. George Longopa kuwa Acting Head Of Adult Cardiology Unit na Dr. Tatizo Waane kuwa Acting Director of Cardiology.
Taarifa hizo zimekanushwa; Kwa mujibu wa barua hiyo inayoonesha Profesa Janabi amefanya kumkaimisha ofisi Dr. George Longopa kuwa Acting Head Of Adult Cardiology Unit na Dr. Tatizo Waane kuwa Acting Director of Cardiology.