mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 923
- 1,586
Vipi wakuu?
Kuna jamaa yangu alivamiwa beach na vibaka watatu wenye visu, hakuwa na ujuzi ila nafikiri nao walikuwa mateja tu hawakujua kutumia silaha, aliwaweza kwa street fight tu za kuzaliwa, alimmwagia mchanga mmoja usoni akapiga vibaya mno.
Ila siku nyingine anaweza kutana na wababe, si unajua hapa bongo. Je, ni mbinu gani za kujihami na hawa vibaka au watu wanaokuvamia pasipo nawe kuwa na silaha? Mbinu gani za kueliminate the challenge/ defencing katika hali kama hii ya jamaa yangu?
Kuna jamaa yangu alivamiwa beach na vibaka watatu wenye visu, hakuwa na ujuzi ila nafikiri nao walikuwa mateja tu hawakujua kutumia silaha, aliwaweza kwa street fight tu za kuzaliwa, alimmwagia mchanga mmoja usoni akapiga vibaya mno.
Ila siku nyingine anaweza kutana na wababe, si unajua hapa bongo. Je, ni mbinu gani za kujihami na hawa vibaka au watu wanaokuvamia pasipo nawe kuwa na silaha? Mbinu gani za kueliminate the challenge/ defencing katika hali kama hii ya jamaa yangu?