Kujilinda na vibaka ama wavamizi bila ya kuwa na silaha

Niliwahi kuwakimbia vibaka na kuingia kwenye nyumba ya vibaka (watoto yatima). Hiyo nyumba ya watoto yatima ilikuwa inavutwa bangi 24/7. Bahati nzuri nilimkuta kibaka mkuu (kiongozi wa hiyo kambi )ananifahamu, wakanisindikiza hadi home na nikawapa 5,000/=. Kuanzia siku ile hata iwe saa ngapi mie nakatiza tu na tungi langu maana nilikuwa nalindwa na battalion ya vibaka.
 
Hakuna formula maalumu ya kupamnana Na vibaka itategemea Na hali na mazingira.Ukiwekwa kati kuwa mpole wape ushirikiano nao
Ukiweza cheza nao akili ongea nao kihuni,waambie Mimi mwenyewe Niko kazini nalifata kundi langu kama vipi twenzetu tukaongeze nguvu
 
Hao wa wapi? Maana kuna wengine kabla ya neno lolote wakutanguliza na tofari au bisbisi
mfano mimi niliwahi kukutana na vibaka kama saba hivi wakanisimamisha ilikuwa kama saa saba usiku. Nilisimama haraka sana na kuanza kuwasilikiliza wanavyopiga mikwara mbuzi mwisho nikauliza "mambo haya mnayaweza au ndo mnajifunza isije kufika mahali mkakataana", wakati huo nilikuwa natembeza macho pande zote kumtafuta mbabe zaidi ili element of supply ianzie kwake. wakaishia kucheka tu na kusema haina noma bro.
 
Ukikuta na vibaka watie Sound
Kama uwez toka nduki
Kama umebanwa wape chao, mambo ya kuparangana na watu wasiokua na chakupoteza ni kutafuta kifo na kilema....

Nishakutana na vibaka mara 2, time ya kwanza nikiwa chuon nimetoka geto kwa washikaji,wakapiga bit nkawaambia sina kitu zaid ya kaya na lighter, basi nkarol tukasmoke wakanisindikiza.....!

Time ya pili nipo mtaa usiku kibish bish nakatiza sehem kuna kijipor nyaya za high votage zinapita juu, nkawaona kizan kama wanasua sua nkawafata moja kwa moja nkapiga bit mi mwenye kama wao tu tena ndo naenda chimbo langu la kukabia, wakaanza maswali ya kiwak nkaona isiwe shida nilipata upenyo nkafungua turbo, ile speed niliotoka nayo nadhan walikata tamaa yakunikimbiza, maana wangenikimbiza baada ya meter mia wange nikamata......!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiiii ndiyo silaha ninayoiamini namba moja. Komaaa nao na uwaeleze wababe wa kitaa wote unaopiga nao mzigo, watakuona bonge la mchawi na mwisho wa siku unawapa mgao wa elfu 10 na kuwahamasisha waendelee na kazi pasipi shaka.
Note; kama huna uwezo usithubutu kupambana na wahalifu hasa vibaka, ukishaona umetaitiwa na mbinu zote zimegota Sarrenda, wape wanachotaka kwa heshima, usisubiri kuchomwa bisu au bisibisi ya kifua tutakupoteza.
MWIKO: Usimtambue kibaka/Mhalifu unayemjua eneo la tukio, mkwepe macho yake kuepuka dhahama. Hii itakuwa zaidi ya vita.
Si kila wanachotaka uwape. Sema wape kile unachoweza kuwapa, wanaweza taka mambo ya ajabu ukaona bora hizo bisibisi na visu vikuhusu.
 
Hakuna formula maalumu ya kupamnana Na vibaka itategemea Na hali na mazingira.Ukiwekwa kati kuwa mpole wape ushirikiano nao
Ukiweza cheza nao akili ongea nao kihuni,waambie Mimi mwenyewe Niko kazini nalifata kundi langu kama vipi twenzetu tukaongeze nguvu
Fundi rangi akijifanya mhasibu anajulikana tu. Upo sahihi kuwa hakuna formula
 
Ukikuta na vibaka watie Sound
Kama uwez toka nduki
Kama umebanwa wape chao, mambo ya kuparangana na watu wasiokua na chakupoteza ni kutafuta kifo na kilema....

Nishakutana na vibaka mara 2, time ya kwanza nikiwa chuon nimetoka geto kwa washikaji,wakapiga bit nkawaambia sina kitu zaid ya kaya na lighter, basi nkarol tukasmoke wakanisindikiza.....!

Time ya pili nipo mtaa usiku kibish bish nakatiza sehem kuna kijipor nyaya za high votage zinapita juu, nkawaona kizan kama wanasua sua nkawafata moja kwa moja nkapiga bit mi mwenye kama wao tu tena ndo naenda chimbo langu la kukabia, wakaanza maswali ya kiwak nkaona isiwe shida nilipata upenyo nkafungua turbo, ile speed niliotoka nayo nadhan walikata tamaa yakunikimbiza, maana wangenikimbiza baada ya meter mia wange nikamata......!

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia nzuri ni kuwafahamu tu kwani ni raia wezetu,majirani zetu wanaoishi humuhumu uraiani,ukiwawafahamu hawawezi kukukaba wewe au ndugu yako hata siku moja.
 
Martial arts huwa inasaidia kwa kiwango kikubwa sana, kwasababu huwa inakupa confidence sana kutokana na mbinu mbalimbali unazojifunza.

Binafsi huwa nikitoka na najua ninakoenda naweza kurudi usiku sana na njia ntakazotumia kufika home uwezekano wa kukutana na vibaka ni mkubwa, huwa nahakikisha :-

1. Aina ya mavazi ntakayovaa yawe siyo ya kunibana ikitokea purukushani. (Raba nyepesi, t-shirts na track au jeans.

2. Pen mbili mfukoni lazima

3. Mara nyingi nikiwa na begi huwa sikosi hii kitu hapa chini kwa bag yangu.
View attachment 1379002

Sent using Jamii Forums mobile app
Cheni mzeee dah umenikumbusha mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna rafiki yangu anatembea na zuna moja matata, bahati mbaya hajawahi kuonana nao


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukikuta na vibaka watie Sound
Kama uwez toka nduki
Kama umebanwa wape chao, mambo ya kuparangana na watu wasiokua na chakupoteza ni kutafuta kifo na kilema....

Nishakutana na vibaka mara 2, time ya kwanza nikiwa chuon nimetoka geto kwa washikaji,wakapiga bit nkawaambia sina kitu zaid ya kaya na lighter, basi nkarol tukasmoke wakanisindikiza.....!

Time ya pili nipo mtaa usiku kibish bish nakatiza sehem kuna kijipor nyaya za high votage zinapita juu, nkawaona kizan kama wanasua sua nkawafata moja kwa moja nkapiga bit mi mwenye kama wao tu tena ndo naenda chimbo langu la kukabia, wakaanza maswali ya kiwak nkaona isiwe shida nilipata upenyo nkafungua turbo, ile speed niliotoka nayo nadhan walikata tamaa yakunikimbiza, maana wangenikimbiza baada ya meter mia wange nikamata......!

Sent using Jamii Forums mobile app
😂
 
Martial arts huwa inasaidia kwa kiwango kikubwa sana, kwasababu huwa inakupa confidence sana kutokana na mbinu mbalimbali unazojifunza.

Binafsi huwa nikitoka na najua ninakoenda naweza kurudi usiku sana na njia ntakazotumia kufika home uwezekano wa kukutana na vibaka ni mkubwa, huwa nahakikisha :-

1. Aina ya mavazi ntakayovaa yawe siyo ya kunibana ikitokea purukushani. (Raba nyepesi, t-shirts na track au jeans.

2. Pen mbili mfukoni lazima

3. Mara nyingi nikiwa na begi huwa sikosi hii kitu hapa chini kwa bag yangu.
View attachment 1379002

Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana aisseee, hii nzuri, nije lini unifundishe?
 
mimi nilikua na laki tatu mfuko wa nyuma, alafu mfuko wa mbele nilikua na sh.200 tu.
Nikapita chocho flani kajamaa kamoja kakajifanya kanakojoa, nilivyompita tu akatokea mwingine kwa mbele machale yakanicheza.

Yule wa mbele akaniambia "braza tupe hata pesa tukavute mafegi" (nadhani alifikiri nitakataa kumpa hela ya fegi ili wapate sababu ya kunikaba).

Kwa haraka sana nikaingiza mkono mfukoni nikatoa sh.200 nikampa akaipokea akabaki ameduwaa; Yule mwenzake akaanza kupiga kelele kumlaumu kwa nini ameniacha nipite ila jamaa hakumjibu chochote na mimi nikawa tayari nimeshamaliza kuvuka hicho kichochoro salama salmini.

Mbinu kubwa ni kujiamini tu.
Mzeee next time usifanye hilo zaga, hiyo ni mbinu tu. Kuomba hizo hela ndogo ndogo, wanafanyaga hivo kukuweka busy na kukusoma kama huna zaidi or not.

Saikolojia ya kitaani, huwezi kuwa na Mia 2 pekeee then ukatoa hiyo hiyo. So wanajua lazima utakuwa na zingine.

Kilicho kuokoa, inaonekana nawew una muonekano wa kijanja, ndo maana mchiz ulivyo mpa akapata picha huyu, mjanja mwenzetu akaona Soni....
 
Back
Top Bottom