kila kitu kimekaa vizuri
Namaanisha kwamba ungalie hiyo post iliwekwa lini!!unamaanisha nini?
Walioitwa kwa mujibu wa hii post ni makonstebo.walioitwa ni nafasi gan? tuliomba sajin na konstebo inakuwaje?
Walioitwa kwa mujibu wa hii post ni makonstebo.
]Sawa nguvu ya hoja,nauliza vipi kwa mwaka huu,bado hawajaitwa?
]
Siku kama ya leo wiki ijayo,sajini ,konstebo na wakaguzi wasaidizi watakuwa wanatakiwa kuripoti mafunzoni Kiwira.
]
Siku kama ya leo wiki ijayo,sajini ,konstebo na wakaguzi wasaidizi watakuwa wanatakiwa kuripoti mafunzoni Kiwira.
Majina yote yapo tayari,ila watu wa magazeti wanagoma kutoa hadi walipwe milioni themanini za matangazo ya awali,ila vyovyote iwavyo mafunzo yanaanza wiki ijayo.Ninachotak kujua ni kwamb, majina ya waliochaguliw yametoka au bado?
vp kuhusu watu wa mikoani tutapateje taarifa kuhusu haya majina ya zima moto na uokoaji maana siwaelewi na kuna mtu atakua anajua naomba anifamishe samahan lakini
Wadau wiki hii lazima watoe,COZ NIMEOTA WATATOA KESHO J.5.SO KAENI MKAO WA KUCHEKA/.........