Kuitwa kazini zimamoto na uokoaji

Mkisha pata hiyo ajira mumshauri bosi wa zimamoto,ilimuache kuvaa sare za polisi kwani hilo ni kosa la jinai kwamujibu wa penal code of tz na national security act of tz, kwani zimamoto si polisi na pia si jeshi kwa mujibu wa katiba hivyo hizo sare mnazo vaa ni uvunjifu wa sheria
 
Pia tunaona mnatumia cheo cha constable, je?nyinyi pia ni polisi? Je nyinyi pia ni jeshi? Na kama ni jeshi basi ni kwa sheria ipi? Na kama ni kitengo cha jeshi ni jeshi lipi hilo na kwa mujibu wa sheria ipi? Ushauri wangu ni kwamba polisi wanapaswa kuwakamata kwa uhalifu huu wa kuvaa sare za polisi na kujipachika vyeo lvisivyo vyenu kisheria
 
Polisi jaribuni kuwa makini ktk kutekeleza sheria mfano mgambo wa jiji la arusha pia wanavaa sare ambazo ni allmost za polisi na mna wa angalia tuu, huo ni uharifu,kuvaa nguo yeyote inayo endana na armed force kwa mujibu wa. Sheria ya usalama wa taifa. Na sheria ya kanuni ya adhabu , hebu polisi wakamateni hawa migambo wa arusha,pamoja na wenzao zimamoto
ASANTE
 
Pia tunaona mnatumia cheo cha constable, je?nyinyi pia ni polisi? Je nyinyi pia ni jeshi? Na kama ni jeshi basi ni kwa sheria ipi? Na kama ni kitengo cha jeshi ni jeshi lipi hilo na kwa mujibu wa sheria ipi? Ushauri wangu ni kwamba polisi wanapaswa kuwakamata kwa uhalifu huu wa kuvaa sare za polisi na kujipachika vyeo lvisivyo vyenu kisheria

mbona zina utofauti mkuu?
 
Pia tunaona mnatumia cheo cha constable, je?nyinyi pia ni polisi? Je nyinyi pia ni jeshi? Na kama ni jeshi basi ni kwa sheria ipi? Na kama ni kitengo cha jeshi ni jeshi lipi hilo na kwa mujibu wa sheria ipi? Ushauri wangu ni kwamba polisi wanapaswa kuwakamata kwa uhalifu huu wa kuvaa sare za polisi na kujipachika vyeo lvisivyo vyenu kisheria

AMA hakika wewe si mfuatiliaji wa mambo kabisa upo nyuma kam mkia wa nguruwe . Sitaki mengi ww google kuhusu jeshi la zimamoto utapata kila kiti kuhusu pumba unazoelezea umma hapa
 
Polisi jaribuni kuwa makini ktk kutekeleza sheria mfano mgambo wa jiji la arusha pia wanavaa sare ambazo ni allmost za polisi na mna wa angalia tuu, huo ni uharifu,kuvaa nguo yeyote inayo endana na armed force kwa mujibu wa. Sheria ya usalama wa taifa. Na sheria ya kanuni ya adhabu , hebu polisi wakamateni hawa migambo wa arusha,pamoja na wenzao zimamoto
ASANTE

Ina mana nyie ndo mnayaona haya mambo wakati wizara ya mambo ya ndan kwan hawana watumishi wa kulifuatilia hili swala, mbona wao hawalitolei tamko lolote ?? Nyinyi ni wakina nani haswa, acheni pumba zenu pelekeni malalamiko yenu wizara ya mambo ya ndani so humu hatuna la kuwasaidia sisi,
 
Mkisha pata hiyo ajira mumshauri bosi wa zimamoto,ilimuache kuvaa sare za polisi kwani hilo ni kosa la jinai kwamujibu wa penal code of tz na national security act of tz, kwani zimamoto si polisi na pia si jeshi kwa mujibu wa katiba hivyo hizo sare mnazo vaa ni uvunjifu wa sheria

Nilitaka nikupatie elimu juu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,ila kwa namna unavyoleta hoja zako ni kama vile unajua kumbe hujui chochote,ni hatari kujadiliana na mtu ambaye hajui na hajui kama hajui,unaweza kutumia nguvu nyingi sana na inabidi ushushe uelewa wako ili ukaribiane na akili ya mtu huyo,ila kwa faida ya wanajukwaa nitatoa machache,
Mosi,Kwa uelewa wangu Jeshi laZimamoto halijawahi kutumia sare za Polisi,sare ya zimamoto wa Tanzania ni jani la mgomba ambayo walianza kuivaa tangu mwaka 1926,wakati huo Jeshi la Zimamoto likiwa pamoja na Polisi na hao polisi walivaa khaki nyeupe. Baadae Zimamoto ilitenganishwa na polisi.Baada ya polisi kuanzisha FFU,walitumia sare zinazoelekana na Zimamoto ila hazifanani,kwa hiyo FFU wanatumia sare za Fire kama hoja yako ni kufanana kwa sare.
Pili,Zimamoto ni jeshi kamili kwa mujibu wa katiba iliyopo na kwa nujibu wa sheria iliyounda Jeshi hilo,katiba ya sasa inampa uwezo rais kuunda Jeshi na ndivyo alivyofanya mwalimu Nyerere miaka ya sabini,na sheria ikatungwa (sheria na.3 ya 1985). Na Kamishna wake wa kwanza akiwa Kassim(RIP) kutoka Zanzibar ambaye alitokea polisi.Mwaka 2007 ikatungwa sheria nyingine ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji namba 14 ya 2007. Inaitwa "FIRE AND RESCUE FORCE ACT"
Neno Force maana yake Jeshi,magereza inaitwa Prisons Services.Jiulize JKT ni sehemu tu ya JWTZ na imetajwa kwenye katiba,jeshi la majini au la anga ni sehemu pia ya JWTZ lakini hayakutajwa kwenye katiba,je hayo si majeshi?
 
Pia tunaona mnatumia cheo cha constable, je?nyinyi pia ni polisi? Je nyinyi pia ni jeshi? Na kama ni jeshi basi ni kwa sheria ipi? Na kama ni kitengo cha jeshi ni jeshi lipi hilo na kwa mujibu wa sheria ipi? Ushauri wangu ni kwamba polisi wanapaswa kuwakamata kwa uhalifu huu wa kuvaa sare za polisi na kujipachika vyeo lvisivyo vyenu kisheria
Narudia kusema kuwa kwa jinsi unavyojenga hoja ni wachache sana wanweza kukuelimisha maana unakuwa kama vile unajua kumbe hujui na bado hujatambua kama hujui,ni hivi kuhusu constable ni neno la kiingereza ambalo binafsi sijui maana yake,maana mimi nipo hapa New Zealand, na hapa wale mgambo wa jiji na manispaa ndio wanaitwa police constable,wale polisi wa kawaida wanaitwa polce officers,mtu akivunja sheria za mijini anapelekwa mahakamani na hawa mgambo ambao wanaitwa police constables bila kujali cheo chake na neno hili hata Uingereza wanalitumia kutofautisha polisi na mgambo,huko kwetu tumelichukua huku nadhani kwa ujumla.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ni Jeshi kamili na limeundwa kwa sheria ya bunge namba 14 ya 2007,na Kamishna Jenerali wake wa sasa ni Nyambacha ambaye alikuwa afisa wa Magereza na Naibu wake ni Kanali Mgumba aliyetokea JWTZ,wapo makamishna na manaibu kamishna wengi tu.
 
Bwana nguvu ya hoja kwanza hupaswi kusita kutoa elimu kwani huo ndio msingi wa wanajamii, hivyo toa elimu bila kusita, mwaka 1926 hatuku wahi kuwa na jeshi la zimamoto ila tulikuwa na kitengo cha zimamoto ndani ya jeshi moja la polisi ambao walivaa nguo hizo za kijani wakihesabika kuwa ni polisi , wakati sasa wameji tenga sivyema kwao kuendelea na uniform hiyo kiusalaam kwani wao si polisi tena kwa sasa, kuhusu Jkt hawa wamekuwapo rasmi tangu 1963 hivyo ni lazima wangekuwepo kwenye katiba wakati pia jwtz hawa rasmi wamekuwepo 1964 ,navy na air wing hawa wezi kutajwa kwenye katiba kwani duniani kote navy na air wing ni command za jeshi kamili, kwa kifupi issue ya moto peke yake haiwezi unda jeshi na hata kama kunamajanga mengine basi majeshi kamili ya kikatiba yatafanya kazi, kwa kifupi hawa zimamoto wanapaswa wawe chini ya moja ya majeshi ya kikatiba na si kukaa peke yao namna hiyo nchi moja hai wezi kuwa na vikundi vingi vya paramilitary activities vinavyo jitegemea hivyo ni hatari kwa usalama
 
Bwana nguvu ya hoja kwanza hupaswi kusita kutoa elimu kwani huo ndio msingi wa wanajamii, hivyo toa elimu bila kusita, mwaka 1926 hatuku wahi kuwa na jeshi la zimamoto ila tulikuwa na kitengo cha zimamoto ndani ya jeshi moja la polisi ambao walivaa nguo hizo za kijani wakihesabika kuwa ni polisi , wakati sasa wameji tenga sivyema kwao kuendelea na uniform hiyo kiusalaam kwani wao si polisi tena kwa sasa, kuhusu Jkt hawa wamekuwapo rasmi tangu 1963 hivyo ni lazima wangekuwepo kwenye katiba wakati pia jwtz hawa rasmi wamekuwepo 1964 ,navy na air wing hawa wezi kutajwa kwenye katiba kwani duniani kote navy na air wing ni command za jeshi kamili, kwa kifupi issue ya moto peke yake haiwezi unda jeshi na hata kama kunamajanga mengine basi majeshi kamili ya kikatiba yatafanya kazi, kwa kifupi hawa zimamoto wanapaswa wawe chini ya moja ya majeshi ya kikatiba na si kukaa peke yao namna hiyo nchi moja hai wezi kuwa na vikundi vingi vya paramilitary activities vinavyo jitegemea hivyo ni hatari kwa usalama
Sipendi nijadili mkanganyiko wa hoja zako hasa kuhusu majeshi ya kikatiba ila nitapenda kukuuliza, Kwa mfano wako wa 'duniani kote' niambie ni wapi Zimamoto imeungana na polisi au jeshi lolote,kwa Uingereza na nchi zote za Ulaya na Amerika wanajitegemea,sasa ni wapi zimeungana?
uniform za Zimamoto hazikuwahi kubadilika ila zilizobadilika ni za polisi tena mara kwa mara,na ilipoanzishwa FFU walitumia nguo zinazoelekea kufanana na za Fire ila kimsingi hazifanani,kama ni kufanana basi polisi wanavaa sare za Fire na si vinginevyo.Pia crown mikanda nk,ni tofauti kabisa.
pia ufahamu kuwa ni Jeshi la Zimamoto pekee kwa hapa Tanzania ambalo askari wake anaruhusiwa kufanya kazi mahali popote duniani bila masharti yoyote,hata hao JWTZ hawana nafasi hiyo.
Ingia kwenye google uone website mbalimbali za usalama utaona TZ imeorodheshwa kuwa miongoni mwa nchi ambazo wazimamoto wake wanatambulika kimataifa tofauti na majirani zetu wote ispokuwa Zambia na Kenya tu.
Ukiwa mzimamoto watanzania unaweza kwenda shule au likizo au matembezi na ukijitambulisha kuwa ni mzimamoto utafanya kazi bila ugumu au masharti yoyote(sio ajira) kwa muda utakaokuwa ughaibuni..
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
 
Mkisha pata hiyo ajira mumshauri bosi wa zimamoto,ilimuache kuvaa sare za polisi kwani hilo ni kosa la jinai kwamujibu wa penal code of tz na national security act of tz, kwani zimamoto si polisi na pia si jeshi kwa mujibu wa katiba hivyo hizo sare mnazo vaa ni uvunjifu wa sheria

weee hujui ile uniform ni ya nani kati ya hao wawili,FFU NA ZIMAMOTO fanya utafiti acha kutumia makalio kufikiri!! kaulize mambo ya ndani uniform halis ya zimamoto ni rangi ipi na ya ffu ya asili ni ipi!!
 
Naona baada ya kukosa kazi mnaanza kujadili uhalali wa Fire na sare zake binadamu bwana.....!
 
Hahaha mi nimekosa kazi zimamoto but siwezi kuiponda,hayo ni maneno ya mkosaji jagumba . Mimi nimefanya interview ya mkaguzi msaidizi,moja ya watu walionifanyia intavyuu ni afisa wa Police aliyevaa nguo za FFU na alivyokuwa akinihoji alikuwa anatamka mara kwa mara sentensi 'Jeshi la Zimamoto',then unaponiambia sio jeshi nakushangaa. Kwa mantinki hiyo kama basi police waanze kumkamata yule afisa wao ambaye katupotosha kwamba Fire ni jeshi
 
Last edited by a moderator:
nackia watu wanaripoti tareh 15/06/2014 alaf mpak leo hawajawek waz waliochaguliw manake nn?
 
Back
Top Bottom