Kuishi nyumba moja na wakwe

Kuishi nyumba moja na wakwe

Wengi watapenda muishi walivyoishi wao.sio rahisi kama mnavyofikiria
Fikiria kwanza Hawa wazee wanapokosa uhuru hata wa kuamua watakula nini leo kwenye nyumba waliyoijenga wenyewe. Mkwe anapewa majukumu yote na wao wanakuwa kama watoto.
 
Cha kwanza ujitoe fahamu kuwa ni wakwe. Wachukulie kuwa ni wazazi wako. Be understanding towards them. Play dumb na jitahidi kupuuzia mapungufu kadri uwezavyo. Appreciate them for giving you an awesome spouse.

Thats my opinion kutokana na uzoefu kidogo wa kuishi kwa wakwe nikienda kujifungua.

Otherwise, nyumbani kwako ni nyumbani kwako. Utavaa unavyojiskia utafanya unavyojiskia. Mfano napendaga kukaa 'upside down' kwenye kochi sasa kwa wakwe nitakaaje.
 
Cha kwanza ujitoe fahamu kuwa ni wakwe. Wachukulie kuwa ni wazazi wako. Be understanding towards them. Play dumb na jitahidi kupuuzia mapungufu kadri uwezavyo. Appreciate them for giving you an awesome spouse.

Thats my opinion kutokana na uzoefu kidogo wa kuishi kwa wakwe nikienda kujifungua.

Otherwise, nyumbani kwako ni nyumbani kwako. Utavaa unavyojiskia utafanya unavyojiskia. Mfano napendaga kukaa 'upside down' kwenye kochi sasa kwa wakwe nitakaaje.
Asante sana mkuu, pua wajukuu wa kuzaliwa watawapa attention yao yote.
 
Ndoa ya adam na hawa ilidumu kwasababu kulikuwa hakuna cha wakwe wala mawifi
 
Fikiria kwanza Hawa wazee wanapokosa uhuru hata wa kuamua watakula nini leo kwenye nyumba waliyoijenga wenyewe. Mkwe anapewa majukumu yote na wao wanakuwa kama watoto.
Mara chache kukuta mkwe apewe hauo.majukumu unless wazazi ni wazee sana...


Otherwise

Ni kufuata sheria za wazazi.......

Shida zaidi kama mke na mama kwe wasipojua nafasi zao
 
Siwezi kuruhu my waifu aishi kwa mzee wangu. Kwanza sijui naonaje naona kama simpi uhuru wa kumtosha kuenjoy maisha.

Ila haya nayaona kwa wahindi na watu wa pwani unakuta kijana anaoa anakaa na mkewe kwao na mama yake. Wanawake wetu japo sio mara zote kukaa wote sehemu moja mara nyingi wanagombana na kujengeana vinyongo.

Mimi after my late brother ni first born sikutaka hata kuishi kwa mzee licha ya kuondoka nikiwa mdogo yeye akiwa na nyumba zaidi ya moja. Sikutaka maisha ya kulelewalelewa maana ukiishi kwa mtu anakumiliki.

Btw, maisha hayana formula na kila Nyumba na taratibu zake.
 
Siwezi kuruhu my waifu aishi kwa mzee wangu. Kwanza sijui naonaje naona kama simpi uhuru wa kumtosha kuenjoy maisha.

Ila haya nayaona kwa wahindi na watu wa pwani unakuta kijana anaoa anakaa na mkewe kwao na mama yake. Wanawake wetu japo sio mara zote kukaa wote sehemu moja mara nyingi wanagombana na kujengeana vinyongo.

Mimi after my late brother ni first born sikutaka hata kuishi kwa mzee licha ya kuondoka nikiwa mdogo yeye akiwa na nyumba zaidi ya moja. Sikutaka maisha ya kulelewalelewa maana ukiishi kwa mtu anakumiliki.

Btw, maisha hayana formula na kila Nyumba na taratibu zake.
Umemalizia vyema kila nyumba na taratibu zake. Huku Pwani tunafunzwa kuwa kumkosea adabu mama mkwe unaiaibisha familia yako. Na mama mkwe analielewa hilo kwani Mara nyingi mama yako na mama mkwe walikua pamoja hivyo ukiolewa ni kama uko kwenu.

Watu wa Pwani pia hatuna makuu unaamini kuwatunza wakwe ni thawabu na kile kinschopstikana mnakula wote.
 
Umeshawahi kufikiria unapoushi nyumba moja na wakwe si rahisi ndoa kuvunjika. Wakwe watasaidia kurekebisha tu panapopunda.
Leo Naona una agenda ya kusifia hii issue ya kuishi na wazazi. Kimsingi kwa maisha ya sasa ni ngumu sana kuwa na extended family. Sawa wazazi watakusaidia na malezi ila kama familia kuna mengi Hamuwezi fanya kwa kuwa mpo wengi na unajikuta unaona haya tu, mfano kwenda kutalii na familia yako. Huu mtizamo wangu, ila kama kuna mtu anaona poa, basi shega tu. Kila mtu na mapenzi yake.
 
Leo Naona una agenda ya kusifia hii issue ya kuishi na wazazi. Kimsingi kwa maisha ya sasa ni ngumu sana kuwa na extended family. Sawa wazazi watakusaidia na malezi ila kama familia kuna mengi Hamuwezi fanya kwa kuwa mpo wengi na unajikuta unaona haya tu, mfano kwenda kutalii na familia yako. Huu mtizamo wangu, ila kama kuna mtu anaona poa, basi shega tu. Kila mtu na mapenzi yake.
Tena ukipata wazazi waelewaji watakao na watoto wakati wewe nacwife mko Nagamoyo week emd. Ni kuwa mawazo tu, baba tunakwenda Manyara ataelewa.
 
Kuoa na kuishi kwa wazazi ni tatizo kubwa sana.
Kwetu huku bara huwezi kuoa na kuishi kwa wazazi utadharaulika sana hata na jamii nzima.
Unaulizwa unakaa wapi unasema nakaa kwa wazazi maana yake wewe bado ni mtoto.
Ili kudumisha ndoa unapaswa kuambatana na mmeo/mkeo ukiambatana na wazazi na mme/mke lazima kimoja kitaponyoka.
Kama wazazi wanashida waje au hata kama hawajataka kuja wafuate uwaombe ukakae nao nyumbani kwako, ukakae kwa wazazi huo ni ujuha wa kiwango cha lami.
Hata wazazi wawe na uwezo kiuchumi kuwa na maisha yako binafsi na mkeo ni jambo la muhimu.
Kuwa huru ni jambo la muhimu na unapopambana na maisha unakuza akili.
 
Kuoa na kuishi kwa wazazi ni tatizo kubwa sana.
Kwetu huku bara huwezi kuoa na kuishi kwa wazazi utadharaulika sana hata na jamii nzima.
Unaulizwa unakaa wapi unasema nakaa kwa wazazi maana yake wewe bado ni mtoto.
Ili kudumisha ndoa unapaswa kuambatana na mmeo/mkeo ukiambatana na wazazi na mme/mke lazima kimoja kitaponyoka.
Kama wazazi wanashida waje au hata kama hawajataka kuja wafuate uwaombe ukakae nao nyumbani kwako, ukakae kwa wazazi huo ni ujuha wa kiwango cha lami.
Hata wazazi wawe na uwezo kiuchumi kuwa na maisha yako binafsi na mkeo ni jambo la muhimu.
Kuwa huru ni jambo la muhimu na unapopambana na maisha unakuza akili.
Umenena vyema, waoanao hawana budi kutoka kwa wazazi wao na kuambatana wawili tu ili wakatengeneze familia yao.
 
Back
Top Bottom