Kuishi nyumba moja na wakwe

Kuishi nyumba moja na wakwe

Yahni hapa nakuunga mkono asilimia zoteee......sema watu hawajui ukitaka kula na kipofu usimshike mkono...ukimtendea wema mama wa mume wako utafurahia sana maisha ya ndoa..utajikuta makosa unafanya wewe na bado unatetewa .TAtizo kuna baadhi ya wanawake tukiolewa tu nataka kushindana na wakwe zetu.Na kuna wakwe nao hawapendeki hata uwafanyie nini lakini hii isitufanye tuwatendee mabaya .

Mm aka kambinu nakajua kitambooo.na nimekuelewa sanaaaa acha tu.JAmani mm naamin ukitaka kuona ndoa chungu mwanamke heeeee shindana na mkweooo utajutaaaaa.

Salute kwako ....hili ni somo langu LA Leo nimejifunza zaidi kutoka kwako.
Tatizo watu niwabishi sana mama !!.

Weeee unaolewa alafu unataka kushindana na ma mkwe ?? Cheeeeee ,,ivi kuna mwanamme atamwona mama yake mbaya ???? Nooo.. Mama atabaki ivo tu .

Watu waendane na mazingira ,,,,uless waendeleee kutupiga limbwata tuuun..ila naakili zangu timamu ,,,,
NImawili tuuuu .
Muheshimu mama ukaeee.
Usimuheshimu mama Usepe nakazi yako tuuuu nahela zako na mwili wako ukoooooooooooo.
 
Tatizo watu niwabishi sana mama !!.

Weeee unaolewa alafu unataka kushindana na ma mkwe ?? Cheeeeee ,,ivi kuna mwanamme atamwona mama yake mbaya ???? Nooo.. Mama atabaki ivo tu .

Watu waendane na mazingira ,,,,uless waendeleee kutupiga limbwata tuuun..ila naakili zangu timamu ,,,,
NImawili tuuuu .
Muheshimu mama ukaeee.
Usimuheshimu mama Usepe nakazi yako tuuuu nahela zako na mwili wako ukoooooooooooo.
Kila mtu anapoelewa mipaka yake hakuna matatizo.
 
Tatizo watu niwabishi sana mama !!.

Weeee unaolewa alafu unataka kushindana na ma mkwe ?? Cheeeeee ,,ivi kuna mwanamme atamwona mama yake mbaya ???? Nooo.. Mama atabaki ivo tu .

Watu waendane na mazingira ,,,,uless waendeleee kutupiga limbwata tuuun..ila naakili zangu timamu ,,,,
NImawili tuuuu .
Muheshimu mama ukaeee.
Usimuheshimu mama Usepe nakazi yako tuuuu nahela zako na mwili wako ukoooooooooooo.
Ila na wa mama watuheshimu na wao wapo wanawake wanajitahidi sana kwa wakwe zako laki
Tatizo watu niwabishi sana mama !!.

Weeee unaolewa alafu unataka kushindana na ma mkwe ?? Cheeeeee ,,ivi kuna mwanamme atamwona mama yake mbaya ???? Nooo.. Mama atabaki ivo tu .

Watu waendane na mazingira ,,,,uless waendeleee kutupiga limbwata tuuun..ila naakili zangu timamu ,,,,
NImawili tuuuu .
Muheshimu mama ukaeee.
Usimuheshimu mama Usepe nakazi yako tuuuu nahela zako na mwili wako ukoooooooooooo.
Kila kuna wamama jamanii wanajua kutumia nguvu ya umama vibaya jamanii hapa nisiwe mnafki.hawa hata uwafanyie nini lazime akutie dosari mliangalie na hili wanaume jamanii khaaaa
 
Ila na wa mama watuheshimu na wao wapo wanawake wanajitahidi sana kwa wakwe zako laki
Kila kuna wamama jamanii wanajua kutumia nguvu ya umama vibaya jamanii hapa nisiwe mnafki.hawa hata uwafanyie nini lazime akutie dosari mliangalie na hili wanaume jamanii khaaaa
Kuna wenye roho za kimasikini kisa alimlea mwanae kwa taabu basi usijitandaze kwa mume wako
 
Kila mtu anapoelewa mipaka yake hakuna matatizo.
Nikweli Kabisa .....ila nielewe Dada ,,mwandamu kadiri umri unavyozidi kwenda ,uwezo wake waakili inapungua nakurudi kua km wamtoto .
Bila shaka mtoto unajua visa vyake ????. Sasa visa vyakitoto afanye MTU wamakamo ,nadhan nibalaaa.
Sasa ufanye nn ?????.

Nikujua umuishi vipi ,nakumvumilia na zaidi umsaidie tu kuimaliza miaka yake.

Labda nikuulize,,, Ungependa mke wamwanao akuishi vipi ktk uzee wako ??? Atakapokutreat vibaya utajisikiaji ???.

Kaufupi tuwapende majiran zetu km tunavyojipenda sisi... Penda kutendewa jambo ambalo naww unapenda kutendea wwngine.

Leo upo 30's kesho upo 60s ,naww unaitaji kulelewa !!!.
 
Nikweli Kabisa .....ila nielewe Dada ,,mwandamu kadiri umri unavyozidi kwenda ,uwezo wake waakili inapungua nakurudi kua km wamtoto .
Bila shaka mtoto unajua visa vyake ????. Sasa visa vyakitoto afanye MTU wamakamo ,nadhan nibalaaa.
Sasa ufanye nn ?????.

Nikujua umuishi vipi ,nakumvumilia na zaidi umsaidie tu kuimaliza miaka yake.

Labda nikuulize,,, Ungependa mke wamwanao akuishi vipi ktk uzee wako ??? Atakapokutreat vibaya utajisikiaji ???.

Kaufupi tuwapende majiran zetu km tunavyojipenda sisi... Penda kutendewa jambo ambalo naww unapenda kutendea wwngine.

Leo upo 30's kesho upo 60s ,naww unaitaji kulelewa !!!.
Na akili zetu zilivyo unakuta mama ameacha chakula kwenye sahani kisa amechoka kula wali kila siku na mke anasema mwache alale na njaa mimi nimepika kakataa. Hapa mume inabidi afanye kazi ya ziada kuyaweka sawa
 
Na akili zetu zilivyo unakuta mama ameacha chakula kwenye sahani kisa amechoka kula wali kila siku na mke anasema mwache a lake na njaa Mimi ninepins kakataa. Hapa mume inabidi afanye kazi ya ziada kuyaweka sawa
Umeona eeehhhhh ,, sasa naakili zakiuzeee MTU anadeka ,,yaaan niakiki kubwa na busara inayotakiwa kutumika ,,otherwise, utamshauri mume """"" John , mie naona mama arudi kijijin kazeeka sana jaman dooohhh
 
Umeona eeehhhhh ,, sasa naakili zakiuzeee MTU anadeka ,,yaaan niakiki kubwa na busara inayotakiwa kutumika ,,otherwise, utamshauri mume """"" John , mie naona mama arudi kijijin kazeeka sana jaman dooohhh
Inafika kipindi mama hawezi kuchuchumaa alienda haja na ni mjini tu kwenye choo cha kukaa.
 
Ila na wa mama watuheshimu na wao wapo wanawake wanajitahidi sana kwa wakwe zako laki
Kila kuna wamama jamanii wanajua kutumia nguvu ya umama vibaya jamanii hapa nisiwe mnafki.hawa hata uwafanyie nini lazime akutie dosari mliangalie na hili wanaume jamanii khaaaa
Sasa wamama wanamna iyo nisasa muangalie njia ya kuwasaidia ...mfano hakikisha huduma zote anazipata kwake .

Kwako anakuja kusalimia kuona wajukuu namatibabu

Lkn kwann huwez kumvumilia TUUU km umeshamjua??
 
Nikweli ,nakama wote niwafanya kazi,, niwakat wakumuwekea MTU wakumjali TUUU nammlipe.....kumpeleka kijijin ,nisawa na kumuuguza mgonjwa alafu siku akifa unasema ** Bora tu apumzike maana alikua anateseka San
Raha yake tukiishi na mama zenu hamlali nje wala kuchelewa kurudi nyumbani. Unamkuta baba flani ana kunywa bia Huku anaangalia taarifa ya habari na mama yuko pembeni anadai chai akijua mwenye nyumba yupo hakuna wa kuleta jeuri hapa.
 
*wakwe wanavyozeeka utaishia kua mlezi wao*.

Kuna mwanamme ambaye mpaka wazazi wake wanazeeka yupo ktk kichumba walichompa wazazi wake ??????.

Labda niseme vijana wajipange ,wanapotaka Oa , wawe tayar na miji yao hata km niupangaji !!!.

Kwapost yako hiii nakile ulichokilenga , nichukue nafasi hii kusema *Wakwe wenye pesa ndo wanaoheshimika zaidi*.
Wapo aisee! kuna wawili mahala pangu pa kazi pa zamani. Mmoja hajaoa ila ni above 30 na anajisifia kabisa kuwa anaishi kwa bibi!!!
Mwingine kama sio 40+ basi anakaribia anaishi kwa babake na mamake. Hawa wote ni wasomi pia wana kazi. Ninachoona vijana wengi wa DAR wamekuwa legelege mno sas hivi
 
Wapo aisee! kuna wawili mahala pangu pa kazi pa zamani. Mmoja hajaoa ila ni above 30 na anajisifia kabisa kuwa anaishi kwa bibi!!!
Mwingine kama sio 40+ basi anakaribia anaishi kwa babake na mamake. Hawa wote ni wasomi pia wana kazi. Ninachoona vijana wengi wa DAR wamekuwa legelege mno sas hivi
Hapo mchumba mpaka apendwe na familia na wajue ukoo anaotoka.
 
Raha yake tukiishi na mama zenu ham laki nje wala kuchelewa kurudi nyumbani. Unamkuta baba flani ana kunywa bia Huku anaangalia taarifa ya habari na mama yuko pembeni anadai chai akijua mwenye nyumba tupo hakuna wa kuleta jeuri hapa.
Hahahahahaa maelezo yako yamenifurahisha .

Kweli kabisaaaaaaaaa.
 
Jamani siku huwa zinajirudia, sasa hivi unaweza kuwa kijana na hutaki kuishi na wakwe lakini siku utakapokuwa mzee utatamani upate mtu wa kukuangalia. Mwanadamu unazaliwa dhaifu, halafu unakuwa na nguvu baadaye unarudi kuwa dhaifu, hapo ndiyo wakati utakapojua kwamba ujana ni moshi, wazee wa wenza wetu ni wazee wetu pia hivyo basi tutakapo oa au olewa tuishi nao vizuri ili nasi tukija kuwa wazee na wakwe zetu waweze kuishi nasi vizuri.
 
Ndo ivo aiseee ,,ujue twende naukwwli ,,,

Mie najua mama yako akija kwangu ,bila shaka utataman muda wote nimuish vzuri ,,aww anaumwa au lah,,,, sasa kwann wakwangu akija ndo aonekanw kikongwe?? Hajiwezi ??? Kunakomfaaa nikijijni???.
Why???.
Kuna issue moja, baada ya mama mkwe kufika tu menu ilikuwa kabichi, kisamvu, mchicha ukisuuza ni maharage. Mama alifunguka mwe heri nirudi kwangu nilikuja kula nyama na samaki kumbe mna kila mboga za majani tu. Mwanae aliumia sana kusikia maneno hayo.
 
Wapo aisee! kuna wawili mahala pangu pa kazi pa zamani. Mmoja hajaoa ila ni above 30 na anajisifia kabisa kuwa anaishi kwa bibi!!!
Mwingine kama sio 40+ basi anakaribia anaishi kwa babake na mamake. Hawa wote ni wasomi pia wana kazi. Ninachoona vijana wengi wa DAR wamekuwa legelege mno sas hivi
nmeishiwa pozi man .....ama kweli hao nivijana Wa DAR .
 
Back
Top Bottom