Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,353
- Thread starter
- #61
Kabisa mkuu, kumpeleka hospital na kusimama Dawa zake.Jamani siku huwa zinajirudia, sasa hivi unaweza kuwa kijana na hutaki kuishi na wakwe lakini siku utakapokuwa mzee utatamani upate mtu wa kukuangalia. Mwanadamu unazaliwa dhaifu, halafu unakuwa na nguvu baadaye unarudi kuwa dhaifu, hapo ndiyo wakati utakapojua kwamba ujana ni moshi, wazee wa wenza wetu ni wazee wetu pia hivyo basi tutakapo oa au olewa tuishi nao vizuri ili nasi tukija kuwa wazee na wakwe zetu waweze kuishi nasi vizuri.