Habari zenu,
Nimeona uzi wa Mdau akilalamika kuwa Mtoto wa Single Mother anadekezwa sana na Mama yake na akitaka kuchukua hatua Mama mtu anasema anamnyanyasa mwanaye.
Kiukweli suala la kuishi na mtoto wa mtu ni jambo gumu sana maana unahitaji kuwa Boya na Pretender ili uonekane una mapenzi kwa mtoto, ni watu wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya namna hiyo.
Kama umezaa na kuna uwezekano wa Mtoto kuishi mbali basi ni vyema mkafanya hivyo kuliko kuleteana maneno kwenye malezi ya mtoto wa nje.
USHAURI
KAMA HAUNA MTOTO NI VYEMA UKATAFUTA MWENZA ASIE NA MTOTO ILI KUEPUSHA MANENO KWENYE MALEZI.
- Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye
Nimeona uzi wa Mdau akilalamika kuwa Mtoto wa Single Mother anadekezwa sana na Mama yake na akitaka kuchukua hatua Mama mtu anasema anamnyanyasa mwanaye.
Kiukweli suala la kuishi na mtoto wa mtu ni jambo gumu sana maana unahitaji kuwa Boya na Pretender ili uonekane una mapenzi kwa mtoto, ni watu wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya namna hiyo.
Kama umezaa na kuna uwezekano wa Mtoto kuishi mbali basi ni vyema mkafanya hivyo kuliko kuleteana maneno kwenye malezi ya mtoto wa nje.
USHAURI
KAMA HAUNA MTOTO NI VYEMA UKATAFUTA MWENZA ASIE NA MTOTO ILI KUEPUSHA MANENO KWENYE MALEZI.
- Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye