Nimekuelewa vyama mkuu lakini kumbuka wazazi wanyo zeekacwanatumia dawa kila siku na appointments za daktari. Macho haya Ono vizuri kujua Dawa za Leo ni hizi. Huyu mama utakaemuweka atakuwa form four liver?
Well ,, wat if km nmekuoa wewe mwanamke uloishia darasa LA tano???? . simara mia ya form four lever ktk suala la umakin???.
Alafu ,,, Suala lakujua Asubuh mchana usiku ,sio suala la kua umesoma sana , nikaumakini tu Ka kujua asubh ameze izi nakipimo iko basi ... Wanawake wangap hawajasoma lkn niwafanya biashara wakubwa ???? Sembuse dawa bana.
ONA KINACHOTAZAMWA HAPA NI *MOYO* YAAAN MOYO NDO UNATAZAMWA HAPA NASIO KINGINE .
kwann usimtendee wema mkweo mpaka akawa kila siku haishi kukuombea mema katika malango yako ???? .kwann usimjali mkweo mpaka akahisi wewe ndo mwanawe ???.
Ujue kuna wanawake bana ,unawaoa mpaka unasema my God am I married to an Angel or macho yangu ??? Yaaan mwanamke anakumbusha ,
Baby mama mkwe unaendeleaje
Baby ,ujue mama Leo ndo tarehe yake yahospital
Baby ,,nahisi pesa kwamama imemuishia
Baby kwaumri wamama nivema tumuwekee mdada
Baby ,kila siku nakuambia kama umeshindwa kumuwekea mdada BASI AJE AKAE HAPA.
Baby ,, nimmemis mama mkwe,, tinaenda lini???/
Baby acha tu ,wee nenda kazin ,mie nitaomba ruhusa nitampeleka mama mwenyewe .
UNAJUA KWANN HUYU MALAIKA ANAKUA ACTIVE KIASI IKO ??????. Nikwasababu anajua akitulia sana , Kule mama atamuona kua sababu ya mtoto wake kumtojali , yaan atasema * mwanangu toka ampate mwanamke yule ,kila kitu kimebadilika ,hanijali tena **.
Sijui unanielewa yaaan ??????..... NGOJA NIKUPE SIRI MOJA WADADA WENGI HAMUIJUI.... UKIWA UNAMCHUMBA ALAFU UNATAKA AKUOE MAPEMA NAHARAKA ,, SIKU AKIKUPELEKA KWAO TUUU HATA KM ANAKUPELEKA KIUSHIKAJI ,,WEWE UKIFIKA ,, CHANGAMKA ,,PIGA KAZI ,,MSAIDIE MAMA KUPIKA ,,PIGA NAYE STORY ZA UMBEAUMBEA ,, CHUKUA NAMBA YAKE ,, MCHEKESHANE VIZURI.*
AISEEEE UKIONDOKA TUUUU ,,UJUE UKU NYUMA MAMA AMEMKALISHA MWANAE ANAANZA KUMOA SOMO LAKUKUOA

.
NAKAMA UMESHAOLEWA NAUNATAKA MUMEO AKUPENDE KUPITILIZAA ,, WEEEE MPENDE MAMA MKWE WAKOOO YAAAN HAKIKISHA UNAMPENDA KIASI KWAMBA UNAKUA NAYE KARIBU SANA ILI UWE UNAMUONA NAJAMAA ANAMUONA ... MAMA SISI WANAUME MAPENZI YETU HUWA TUNAYAWEKA KWA MWANAMKE ,NAMWANAMKE WAKWANZA HUA NIMAMA ...MWANAME ANAKUOA LKN HATOISHA KUMKUBUKA MAMA YAKE NAKUMWAZA ,, SASA ILI AKUPENDE SANA NIKUHAKIKISHA MAMA YAKE YUPO SAWA IN SUCH AWAY THAT MUMEO HANA HOFU NAHALI YAMAMA.
NAAMINI UMENIELEWA ILA TATIZO BINADAMU NIWABISHI SANA .
tatizo Vladimirovich Putin ,nikiwaambiaga kweli mnaanza ooohhhh weEe mtoto hujui kitu ,,ooohhh hauna akili ,,ooohhh mpuuzi tuuuu, ooohhh hujaoa ...ooohhh hujui karaha za ndoa namama mkwe . ..ILA NITAENDELEA KUWAMBIA UKWELI ,ONE DAY MTAELEWA.