Kuiponya UKAWA, hawa lazima wakatwe

Kuiponya UKAWA, hawa lazima wakatwe

CUF wameshatoa msimamo wao mchakato wa kumchagua rais itakaewakilisha ukawa usifanyike mpaka cuf watakapokaa kikao chao cha ndani tarehe 25 July.
 
Yaani hawa wazee wakae pembeni kwa kweli, kila mwaka wao tuu. Wagombea wa kudumu.
 
Wamsimamishe Lissu au Mbatia kama wanania ya dhati ya kuikomboa hii inchi waweke maslahi kando.
 
VUTA-NKUVUTE

Hivi umefanya uchunguzi wa kina wa chanzo cha mvutano ttzo sio lipumba na slaa ni maslahi ya vyama, cdm wanataka 70% ya wabunge 80% ya madiwani na rais atoke kwao pia ndio maana mbatia alisema cdm wasijione wao peke yao kuwa ndio ukawa.
 
Last edited by a moderator:
Hata CCM walikuwa na vigezo muhimu vya kuzingatia kabla ya kupata tano bora. Tatizo la UKAWA ni ubinafsi wa baadhi ya Vyama vya siasa vinavyounda UKAWA.

Kila mwenye analysis mind hawezi kupinga ukweli kuwa Dk Slaa anafaa kuliko wagombea wengine kwa nafasi ya Urais ndani ya UKAWA.

Ikiwa UKAWA watasamvaratika ktk hili la Urais, chama ambacho kitajitoa au kutengwa kitadidimia zaidi.

Mwaka 2000, Chadema walikuwa walikuwa radhi na walimwachia Prof. Lipumba na CUF kusimamisha mgombea Urais, lkn pamoja na kauli ya karibuni ya Prof. Lipumba baada ya kupitishwa na CUF kuwa atamuunga mkono mgombea yoyote atayepitishwa na UKAWA, naona kuna uzito wa CUF kukubali mgombea mwingine nje ta Prof. Lipumba.

Vv

Basi hapo inaonyesha wazi vitu vifuatavyo:
1. Wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani
2. Kila kiongozi mkubwa kwenye hivi vyama yeye binafsi hajiamini
3. Hawana nia ya kufanya upinzani wa kweli
4. Kila mtu/Chama anaangalia maslai yake zaidi.
5. Hawana nia ya dhani ya kutusaidia wananchi zaidi ya kuboresha vyama vyao binafsi.
6. Miongoni mwao kuna baadhi ni wasaliti au wametumwa kuhujumu huu umoja.
Angalizo: Jinsi UKAWA wanavyozidi kuvutana kutoa mgombea mmoja ndio inaonyesha ni jinsi gani hawajakomaa, lakini kikubwa zaidi wanazidi kupoteza imani kwa wananchi. Kumbuka wananchi wanahitaji mabadiliko na tunaamini UKAWA waweza kuleta mabadiliko, lakini sasa huu mvutano unazidi kutukatisha tamaa.
Upande wa pili sasa wananchi wamaanza kuwa na matumaini zaidi na Dr. Magufuli na hii inazidi kuwa pigo kwa UKAWA.
Conclusion: Jamaa inabidi wajipange sasa.
 
Hata CCM walikuwa na vigezo muhimu vya kuzingatia kabla ya kupata tano bora. Tatizo la UKAWA ni ubinafsi wa baadhi ya Vyama vya siasa vinavyounda UKAWA.

Kila mwenye analysis mind hawezi kupinga ukweli kuwa Dk Slaa anafaa kuliko wagombea wengine kwa nafasi ya Urais ndani ya UKAWA.

Ikiwa UKAWA watasamvaratika ktk hili la Urais, chama ambacho kitajitoa au kutengwa kitadidimia zaidi.

Mwaka 2000, Chadema walikuwa walikuwa radhi na walimwachia Prof. Lipumba na CUF kusimamisha mgombea Urais, lkn pamoja na kauli ya karibuni ya Prof. Lipumba baada ya kupitishwa na CUF kuwa atamuunga mkono mgombea yoyote atayepitishwa na UKAWA, naona kuna uzito wa CUF kukubali mgombea mwingine nje ta Prof. Lipumba.

Vv

Slaa anawazidi nini wengine mpaka uone anafaa zaidi kuliko lipumba
 
....Nawashauri UKAWA mambo mawili. La kwanza,kuwakata Prof. Ibrahim Haruna Lipumba na Dr. Wibrod Peter Slaa katika orodha ya wanaotaka ugombea. La pili, wamsimamishe Tundu Antipas Mughwai Lissu kupeperusha bendera UKAWA....

Nadhani mgogoro wao sio nani (mtu) asimamishwe, bali ni CHAMA gani kitoe mgombea wa uRais. Kuna faida nyingi za chama kusimamisha mgombea na inabidi hapa kila chama kiache ubinafsi na kukubali kupoteza sehemu flani
 
VUTA-NKUVUTE

Utaratibu wa Lumumba kutuchagulia marais umesababisha tunaugulia machungu.

Utaratibu wa UKAWA haukuhusu.

Kama unataka wakatwe ili mpumue na Pombe yenu umebugi Pombe ni kwa ajili ya walevi tu si zaidi. Mmethibitisha ulevi wenu wa kila kitu
 
Last edited by a moderator:
Natamani kuona mpambano wa Lissu Vs Magufuli.

Yoyote atakayeshinda serikali ijayo itakuwa na vionjo vipya. Labda itokee tu.

Naunga mkono hoja.

Mkuu Dr. Bado angefanya makubwa zaid, huyu Lissu huyu alovyosumbua serikali ya mkweeereee nna hakika akisimama kwa kiti cha uraisi ndo magoli ya mkono ya CCM yatakuwa mengi zaidi , maana MKWEIRE anajua nini kitakachotokoea
 
CUF wameshatoa msimamo wao mchakato wa kumchagua rais itakaewakilisha ukawa usifanyike mpaka cuf watakapokaa kikao chao cha ndani tarehe 25 July.

Toka kuwa msemaji wa CCM hadi kuwa msemaji wa CUF; tutaona rangi zote
 
Wamsimamishe Lissu au Mbatia kama wanania ya dhati ya kuikomboa hii inchi waweke maslahi kando.

Niko pamoja.na wewe mkuu kama UKAWA wanataka mabadiliko ya kweli na angalau kukaribia mlango wa ikulu, wachague mmoja kati ya hawa wawili ingawa kwa upande wangu wangu turufu yangu naiweka kwa Mbatia zaidi yule bwana kwangu mimi ni president material
 
Nadhani mgogoro wao sio nani (mtu) asimamishwe, bali ni CHAMA gani kitoe mgombea wa uRais. Kuna faida nyingi za chama kusimamisha mgombea na inabidi hapa kila chama kiache ubinafsi na kukubali kupoteza sehemu flani

Exactly!
 
Nadhani mgogoro wao sio nani (mtu) asimamishwe, bali ni CHAMA gani kitoe mgombea wa uRais. Kuna faida nyingi za chama kusimamisha mgombea na inabidi hapa kila chama kiache ubinafsi na kukubali kupoteza sehemu flani
Hao wote ni wabinafsi kwanini wasiweke ubinafsi pembeni wakania pamoja ka kweli wana nia ya dhati ya kupambana na chama tawala.
Na hapo wanazidi kuwafanya wananchi kupoteza imani zaidi na kuwaona wale wale tu hawana nia ya dhati.
 
Utaratibu wa Lumumba kutuchagulia marais umesababisha tunaugulia machungu.

Utaratibu wa UKAWA haukuhusu.

Kama unataka wakatwe ili mpumue na Pombe yenu umebugi Pombe ni kwa ajili ya walevi tu si zaidi. Mmethibitisha ulevi wenu wa kila kitu




Duuuh! watu wana majibu! Nimecheka sana!
 
Hawa wanaofikiriwa bado wana kesi mahakamani.
UKAWA wasije wakakosea wakapendekeza yeyote mwenye kesi maana watalia kilio cha mbwa pindi kesi za wagombea wao zitakapoamuliwa na wa kuchukua fomu utakuwa umekwisha.
Labda wampe Kafulila.
Nimecheka mbaya jombaaaa...Kafulila teeenaaa
 
Sio kweli membe ali anguka Kwa bahati mbaya baada ya kuona wafuas wa rowasa wamekuja juu ndilo goli la mkono wakulia lilipo shindwa shindwa ndio lika tengenezwa la mkono wakushoto. watanzani tunajua kila kith
 
Back
Top Bottom