Slaa anawazidi nini wengine mpaka uone anafaa zaidi kuliko lipumba
At least kwa Mbatia aisee sio Tundu lisu akagombee ubunge ili akipata arudi bungeni. Mbatia wakimuweka anafaa kabisaNiko pamoja.na wewe mkuu kama UKAWA wanataka mabadiliko ya kweli na angalau kukaribia mlango wa ikulu, wachague mmoja kati ya hawa wawili ingawa kwa upande wangu wangu turufu yangu naiweka kwa Mbatia zaidi yule bwana kwangu mimi ni president material
At least kwa Mbatia aisee sio Tundu lisu akagombee ubunge ili akipata arudi bungeni. Mbatia wakimuweka anafaa kabisa
Lipumba vs slaa????? Ukawa mna kazi sana, wote mnataka the same position
Kipindi cha ngapi sasa hivi mkuu?mkuu sisi huku ukawa refa hajapoteza kipenga wala kadi...anasaidiwa kwa ukaribu na washika vibendera....mchezo unaendelea vyema...hakuna kukatana mitama na mpaka sas hakuna hata mmoja aliyeonyeshwa kadi ya njano achilia mbali nyekundu...mchezo utakwisha salama
Mkuu KISIMA upo? mimi nimekaa siti za mbele kabisa huku naangalia hii tamthiliya, ni ndefu na nzuri kwakweli japo muda mwingine inachosha.VUTA-NKUVUTE figisu zinazoendelea ndani ya UKAWA sio kati ya mtu na mtu bali ni masrahi ya chama na chama plus uchumia tumbo!!
Tunaimani haya yote yatapita bila kukatwa mtu labda chama chenye uroho wa pesa.
Niko pamoja.na wewe mkuu kama UKAWA wanataka mabadiliko ya kweli na angalau kukaribia mlango wa ikulu, wachague mmoja kati ya hawa wawili ingawa kwa upande wangu wangu turufu yangu naiweka kwa Mbatia zaidi yule bwana kwangu mimi ni president material[/UOTE]
Heshima yako mkuu LACUTE, for me, i think Tundu is a right person to compete with Dr. Magufuli. Prof Lipumba angepumzika tu japo kukata tamaa ni dhambi kubwa kwa mtu mwenye future.
yes!!!tundu lissu???
Nawashauri UKAWA mambo mawili. La kwanza,kuwakata Prof. Ibrahim Haruna Lipumba na Dr. Wibrod Peter Slaa katika orodha ya wanaotaka ugombea.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam