Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.
Mwanaume akitaka nyapu atajisingizia hadi kifo....
Jamaa mmoja alikua anamtaka rafiki angu nae aliandika msg za hivi anaaga kwamba anarudi kwa muumba, anaakaa baada ya mwaka anaibuka tena nimekumiss unanitesa
Yesu wangu!! Hivi hawa viumbe wanatabia gani hizo? Ila huyu kama nikijua kuwa ulikuwa ni upuuzi wake, aisee ATAOGA MATUSI haki ya nani
 
Mwanaume akitaka nyapu atajisingizia hadi kifo....
Jamaa mmoja alikua anamtaka rafiki angu nae aliandika msg za hivi anaaga kwamba anarudi kwa muumba, anaakaa baada ya mwaka anaibuka tena nimekumiss unanitesa
😂😂😂😂umenikumbusha enzi hizo shuleni kuna rafiki angu alimtongoza demu akajifanya anaumwa magonjwa ya moyo so demu akaogopa kumkatalia kwa kuhofia asije ua,jamaa alikula akasepa
 
Weka screen shot otherwise hii nayo itakua chai ya mchana...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…