Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.
Mi simu yangu haina paswed mtu akiiokota akiingia JF atajua id yangu na ataona pm yangu ya kumuomba ukuwi anikopeshe elfu 30.

Worse ni kwamba hata kwa contacts nimemsave ukuwi hivyo anaweza akaamua kudeal naye huyu huyu.

Tufanye tucheki last time ya kulog in ni saa ngapi na sms zimeanza kuja saa ngapi.
 
Kwa hiyo unaangalia kwenye ID yake? hebu angalia mkuu halafu uweke hapa sikirini shoti
 

Mtie moyo atapona.
Pia kama mnaishi karibu unaweza kutafuta rafiki mwingine(wa kiume ikiwezekana) mkaenda kumsalimia.
 
Mkuu yani unajua hadi ananitisha. Nimemuuliza swali, kuwa anavuta bangi? akanijibu kwa kifupi kuwa hata South Africa inaruhusiwa. yaani hadi muda ninavyotaipu hii comment bado sms zinaendelea kuingia za kuwaaga wanaJF!!
Huyo mhaya kanywa rubisi imepanda kichwani, mtishie mwambie Iddi Amini anakuja ataacha masihara
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…