Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

hii itachomolewa ghafla humu na mods baada ya mkwara mzito! Subirini muone,nikifika hm naisave kabisaaa!
 
nilikuwa nasoma vitabu vya Willy Gamba na Joram Kiango nikijua ni simulizi pekee....kumbe inaweza kuwa katika uhalisia.....duh....nimechoka.....
 
nilikuwa nasoma vitabu vya Willy Gamba na Joram Kiango nikijua ni simulizi pekee....kumbe inaweza kuwa katika uhalisia.....duh....nimechoka.....

Habari yake bana.

Usichoke, tafakari na uchukue hatua. Ikifika zamu ya JF uwe umejipanga!
 
Ndugu yangu machozi kweli yamenilenga lenga. Bora mwl. yeye alikuwa anatuweka kizuizini huko vijijini mwetu. Lakini huyu rais wa kutuuwa! mh! Gadafi. "Watakula vya kufisha nao hawatakufa!"
Kufa kwa watz hao na kuambatane na vifo vya familia zenu na damu zao zisizohatia na ziwe juu ya nyumba ya kila anayehusika na njama hizi mbovu.
 
mwanahalisi ni copy and paste tu hii habari,wananchi wafahamu.ila mkuu JB weka pale mwisho hivi ripoti hii ni mali ya JF hairuhusiwi kunakili bila ruhusa ya uongozi wa JF
 
Asante Mpwa nimefurahi sana kuiona tena hii habari! Nimefurahi sana sana. Japo umeondoa yale majina najua ni kwa ajili ya usalama! Be blessed
 
Kuna nini serikalini? wahudumie wananchi sio kutoa roho bhana
 
Asante Mpwa nimefurahi sana kuiona tena hii habari! Nimefurahi sana sana. Japo umeondoa yale majina najua ni kwa ajili ya usalama! Be blessed

Sasa hii ndo nini? kumbe marekebisho yenyewe ni kuondoa majina. Sasa kunatofauti gani kati ya JF na magazeti mengine ambayo yanakataa kutaja wahusika. Ipo wapi ile kauli ya "where we dare to talk openly" au JF imeingiliwa? Aaaghh...
 
Mkuu JB....Ahsante sana kwa kutuletea habari hii "japo haijathibitishwa" nakumbuka siku ile ulisema utatuletea ukweli wa jambo hili baada ya
masaa 48....lakini yakapita, si mbaya leo umetuletea. Nakumbuka siku ile nilikuiambia kuwa ninahisi wewe uko sehemu nyeti sana serikalini kutokana
na taharifa zako za jikoni. Ahsante sana mkuu kwa kutuletea umafia kama huu (kama ni kweli) ila narudia tena kukuambia kuwa muangalifu sana
magamba wasikushtukie kama unamwaga data kama hizi hadharani maana wanaweza kukukolimba na kukukombe!. Big up JB
 
Asante Mpwa nimefurahi sana kuiona tena hii habari! Nimefurahi sana sana. Japo umeondoa yale majina najua ni kwa ajili ya usalama! Be blessed
Kiukweli mimi ni mmoja ya watu waliolaumu sana MoDs kwa uonevu walioufanya asubuhi lakini saizi nimeridhika sasa. Habari hii ni nzito sana hivyo namtaka mtoa mada kuwa makini sana maana hao walio jamaa wakipata mrejeshonyuma itakuwa balaa. Kazi nzuri.
 
Back
Top Bottom