UncleJoe
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 624
- 508
Sasa wadau hizi habari za kuchanganya mara BOL mara Smart, mara ni moja mara ni tofauti; hamuoni kwamba hawa jamaa hawajajipanga na information za tofauti inapelekea watu tuwaone kwamba ni wababaishaji ?
Au wadau mnasemaje
bol ndio smart. full stop