Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 17,572
- 27,317
mkuu c6 ww unatumia modem gan? Mm huawei e303 no network
Katika hizo ongezea universal modem hsdpa; safaricom modem iliyokuwa-flashed; as well as voda k3570; Zote hazifanyi kazi
mkuu c6 ww unatumia modem gan? Mm huawei e303 no network
natumia huawei e303 ila jamaa waliniambia inabidi usearch mtandao manually kwa mara ya kwanza, ukija itatokea mitandao kama vodacom, mic tanzania, tritel au namba namba ivi basi chagua tritel au izo namba namba utaona inabadilika kuwa bol/smartmkuu c6 ww unatumia modem gan? Mm huawei e303 no network
Alafu bei zao zinakatisha tamaa.
20,000 unlimited ni big deal kwangu. bundle zao zimemix kuna nzuri na za mitego. hata sh 79 kwa call nzuri unalipa hio hela unaongea hadi simu inakatika
yap walipost majuzi kwamba sasa imekuwa smart according to mdau hapo juu, ila bado website yao ina BOL..., kwahio ni walewale
Tsh 79 lakini sio unlimited call. Simu itakatika baada ya dakika30 na ni simu za smart kwenda smart
sasa sh 79 nusu saa sio big deal?
Sio Big deal kutokana na coverage ndogo (sio wengi wenye smart) kwahio ni bora ile mitandao mingine yenye wateja wengi kwahio hata kama wataku-charge 200/= kwa lisaa lizima bado yenye value ni ile mitandao mingine yenye wateja wengi
kaka ukishasikia mtu anaongea nusu saa nzima ujue huyo ni
- gf/bf
-baba/mama
-mazungumzo mengine ya kimbea na porojo
hivyo ni rahisi kumnunulia gf au mama line ili kila siku muongee nusu saa.
na kuhusu hio point yako ya kutokuwa na watu wengi hata wangeeka shilingi 0.00001 kwa masaa decilion 1 still coverage ingekua ile ile sababu ni offer ya wateja wa smart na sio wa voda.
Sure, Walete 4G ili Smile wajue kuwa Speed sio Issue ni Huduma yako iwajali wateja wake kutokana na Vipato vyao.
Sure, Walete 4G ili Smile wajue kuwa Speed sio Issue ni Huduma yako iwajali wateja wake kutokana na Vipato vyao.
Naenda mjini nanunua vocha ya buku kisha nijiunge na kifurushi nione kama wanapiga unlimited km wanavyosema
4G za Dar ni propaganda mfano VODACOM na TIGO walitangaza kuwa wame launch 4G lkn hatujaona hata wakiuza walau hata modem za HSDPA up to 14Mbps au HSPA+ (21Mbps) wala DC-HSPA+ 42Mbps(fastest 3G)...
si ajabu na hao smart/BOL ni wale wale porojo
Internet Speed & Coverage | Tigo.co.tz