Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 17,572
- 27,317
Possibly wame upgrade asee maana nimefurahi na spidi yao sio mbaya kwa kusurf hata kudownload
Hao wadude niliwajaribu mwezi uliopita iligoma kabisa kusoma 3G hadi niliposet dashboard ndiyo ikasoma yaani kitu ni Edge labda wawe wameupgrade net siku za karibuni
Wakuu mna-connect vipi kwenye pc, nimejaribu kutumia join air na connection manager nyingine lakini sipati kabisa signal. Au nahitaji kutumia universal modem. Nyie mnatumia modem gani ?