Kuhusu mtandao wa BOL

Kuhusu mtandao wa BOL

Possibly wame upgrade asee maana nimefurahi na spidi yao sio mbaya kwa kusurf hata kudownload

Hao wadude niliwajaribu mwezi uliopita iligoma kabisa kusoma 3G hadi niliposet dashboard ndiyo ikasoma yaani kitu ni Edge labda wawe wameupgrade net siku za karibuni

Wakuu mna-connect vipi kwenye pc, nimejaribu kutumia join air na connection manager nyingine lakini sipati kabisa signal. Au nahitaji kutumia universal modem. Nyie mnatumia modem gani ?
 
Bol mwanzoni walikuja arusha na modem zao fulani hivi zipo kama decorder kwa shepu. Na connectivity yao ilikuwa poor hadi wateja wakawahama
 
KeyserSoze hapo nilichomeka line dashboard ikasoma nikaconnect km kwenye mitandao mingine
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mna-connect vipi kwenye pc, nimejaribu kutumia join air na connection manager nyingine lakini sipati kabisa signal. Au nahitaji kutumia universal modem. Nyie mnatumia modem gani ?

We kwani una modem gani(sijauliza ya mtandao gani bali model gani na manufacturer gani? E.g Huawei E303)
Nakushauri unlock kwanza afu ndo uweke SIM card ya BOL
 
KeyserSoze hapo nilichomeka line dashboard ikasoma nikaconnect km kwenye mitandao mingine
Sababu sija-unlock modem yangu directly huwa natumia dashboard join air (ili ni-connect airtel kwenye modem ya voda na vice versa) sasa tatizo nikiweka hii line ya BOL hakuna signal yoyote (dashboard haitambui line) kwani wewe una modem gani na dashboard yako ni ipi
 
Sababu sija-unlock modem yangu directly huwa natumia dashboard join air (ili ni-connect airtel kwenye modem ya voda na vice versa) sasa tatizo nikiweka hii line ya BOL hakuna signal yoyote (dashboard haitambui line) kwani wewe una modem gani na dashboard yako ni ipi

Ukiona mobile partner unajua iyo ni huawei modem kaka
 
Hii kitu ni kweli maana hata mimi natumia huku arusha tatizo ni kwenye modem haisomi sijui shida ni nn hata ukiweka kwenye simu ya bb tatizo ni hilo ila kwa simu za samsung galaxy inapiga kazi poa

Nadhani hizi line zao ukitumia modem tofauti na zao huwa hazishiki 3G, so inabidi uwende kwenye setting ya modem na kuset iwe GPRS/EDGE.
 
Sababu sija-unlock modem yangu directly huwa natumia dashboard join air (ili ni-connect airtel kwenye modem ya voda na vice versa) sasa tatizo nikiweka hii line ya BOL hakuna signal yoyote (dashboard haitambui line) kwani wewe una modem gani na dashboard yako ni ipi

Nenda kwenye setting then choose GPRS/EDGE then mambo yatakuwa sawa.
 
BOL kwa Dar ni 2G, 3G ipo mikoani tu.
Source: piga 100 huduma kwa wateja.

Wana akili sana hawa jamaa...lkn walichobug wanaweka 3G mikoa ambayo ina 3G tayari...mm nafikiri waweke 3G kwa mikoa yenye uitaji wa internet na hamna 3G au iko ya mtandao mmoja
 
njunwa wamavoko jamaa nilipomdadisi akaniambia wame nunu liwa na agakhan group na wameanza kusambaa mikoani. mwanza wanaanza officially tarehe 17 march. Ngoja niendelee kuwatumia nione kama wana unafuu ama wazinguaji nitupe kule...

Hao wazinguaji kwanza hawajasajiliwa na ni wezi ndio maana hata line zao hazina hata namba na wanapokuja sehemu kuuza line wanakuja na mtambo wao wanauseti mazingira Yale Yale ukijalibu kuweka line inasoma ukiondoka nayo kwenu chenga huku Dar wamekimbizwa kwa kuwaibia wetu na hiyo campuni ya agakhan haipo katika campuni zilizosajiliwa kutoka huduma ya mawasiliano. wakamateni wapelekeni police.
 
Last edited by a moderator:
Hao wazinguaji kwanza hawajasajiliwa na ni wezi ndio maana hata line zao hazina hata namba na wanapokuja sehemu kuuza line wanakuja na mtambo wao wanauseti mazingira Yale Yale ukijalibu kuweka line inasoma ukiondoka nayo kwenu chenga huku Dar wamekimbizwa kwa kuwaibia wetu na hiyo campuni ya agakhan haipo katika campuni zilizosajiliwa kutoka huduma ya mawasiliano. wakamateni wapelekeni police.

Point of correction Aghakhan ni wamiliki mtandao ulio sajiriwa kwa mawasiliano ni BOL
Unaposema line zao hazina namba wewe ni muongo mkubwa na unaropoko bila kutafiti...au ulimaanisha namba zipi?BOL namba inaanza na 079*******

Hivi unawaona TCRA ni wajinga kiasi hicho...yaani mtandao uendeshe biashara zao bila kusajiliwa?

Come to your senses man
 
Hao wazinguaji kwanza hawajasajiliwa na ni wezi ndio maana hata line zao hazina hata namba na wanapokuja sehemu kuuza line wanakuja na mtambo wao wanauseti mazingira Yale Yale ukijalibu kuweka line inasoma ukiondoka nayo kwenu chenga huku Dar wamekimbizwa kwa kuwaibia wetu na hiyo campuni ya agakhan haipo katika campuni zilizosajiliwa kutoka huduma ya mawasiliano. wakamateni wapelekeni police.

Mkuu napata wasiwasi na maelezo yako maana nimetumia kupiga na kupokea simu. Nimetumia kwenye simu na modem

1979138_512137682241106_846922341_o.jpg
 
Point of correction Aghakhan ni wamiliki mtandao ulio sajiriwa kwa mawasiliano ni BOL
Unaposema line zao hazina namba wewe ni muongo mkubwa na unaropoko bila kutafiti...au ulimaanisha namba zipi?BOL namba inaanza na 079*******

Hivi unawaona TCRA ni wajinga kiasi hicho...yaani mtandao uendeshe biashara zao bila kusajiliwa?

Come to your senses man

Wajinga ndio waliwao!!! teh teh teh!!! Endeleeni kuwaibia watu mikoani Dar mmeshindwa.Wana JF Hakuna kampuni ya mawasiliano ya simu inayoitwa BOL .nyinyi ni wezi mnatambulika hivyo na si mbali tutawabaini
 
Wajinga ndio waliwao!!! teh teh teh!!! Endeleeni kuwaibia watu mikoani Dar mmeshindwa.Wana JF Hakuna kampuni ya mawasiliano ya simu inayoitwa BOL .nyinyi ni wezi mnatambulika hivyo na si mbali tutawabaini

Duuh!We sijui umetoka wapi maana hauna logic unabaki kucheka kidada eti "teh teh teh"
 
Wajinga ndio waliwao!!! teh teh teh!!! Endeleeni kuwaibia watu mikoani Dar mmeshindwa.Wana JF Hakuna kampuni ya mawasiliano ya simu inayoitwa BOL .nyinyi ni wezi mnatambulika hivyo na si mbali tutawabaini
We hujui unaongea kitu gani, embu tazama hii picha.
 
Back
Top Bottom