Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Na Bucha za Kikristo ziwepo basi ili twende sawa... Nyie mjijue na sie tujijue
.........walijishaua kwenye kuchinja, leo wako wapi !?...........labda warudie kunywa kikombe cha babu !
Na Bucha za Kikristo ziwepo basi ili twende sawa... Nyie mjijue na sie tujijue
Again, you are blahing blahing. I need constructive argument so that I can start listening to you. All you do is whining like a child.
Your arguments are childish and lacks knowledge.
Kenya ni nchi ya kiislam...?
Uganda ni nchi ya kiislam..?
umburula tu unakuzingua
Kama mahakama ya kadhi haitakata mikono wezi,kupiga mawe mpaka kifo wazinifu nk(kama ilivyoamriwa na shari za kiislamu) then hiyo mahakama ya kadhi.lengo lake ni nini?Ndio maana wakristo tunasema,mahakama hii ni ya maslahi zaidi kuliko malengo yaliyokusudiwa!!Kenya ni nchi ya kiislam...?Uganda ni nchi ya kiislam..?umburula tu unakuzingua
Kumbe hamna uelewa wa kutosha juu ya hiyo mahakama ya Kadhi mnayoshupalia isiwe,basi tuulizeni tuwape majawabu kuliko kupandikiza chuki kwa vitu msivyovijua.Kama mahakama ya kadhi haitakata mikono wezi,kupiga mawe mpaka kifo wazinifu nk(kama ilivyoamriwa na shari za kiislamu) then hiyo mahakama ya kadhi.lengo lake ni nini?Ndio maana wakristo tunasema,mahakama hii ni ya maslahi zaidi kuliko malengo yaliyokusudiwa!!
Muhammadic assumptions won't help you. You need to tell me why is Kadhi imperative and not whining.You dont know even the meaning of 'Kadhi' yet you dare !
...........how can someone argue with a fool !?:A S-eek:
There is no reality in the jibrilic malarky, in the same token, Kadhi is inhuman and contained fatal clauses that are unconstitutional and not acceptable to the civilized humanity.it not a dream, it is a reality, it is on the table, it is on demand !
There is no reality in the jibrilic malarky, in the same token, Kadhi is inhuman and contained fatal clauses that are unconstitutional and not acceptable to the civilized humanity.
Psalm 14: 1 To the chief Musician, A Psalm of David. The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works, there is none that doeth good.
Who said "LA ILAHA ILA ALLAH"? The person fits the description of a fool.
Muhammadic assumptions won't help you. You need to tell me why is Kadhi imperative and not whining.
Kumbe hamna uelewa wa kutosha juu ya hiyo mahakama ya Kadhi mnayoshupalia isiwe,basi tuulizeni tuwape majawabu kuliko kupandikiza chuki kwa vitu msivyovijua.
Fuatilia mahakama ya Kadhi ya uingereza,ulishawahi kusikia mtu amekatwa mkono?,acheni upotoshaji
Kama mahakama ya kadhi haitakata mikono wezi,kupiga mawe mpaka kifo wazinifu nk(kama ilivyoamriwa na shari za kiislamu) then hiyo mahakama ya kadhi.lengo lake ni nini?Ndio maana wakristo tunasema,mahakama hii ni ya maslahi zaidi kuliko malengo yaliyokusudiwa!!
NO TO MAHAKAMA YA KADHI.
Msipoteze muda haitapita hiyo.
Kama ikipita wakristo tujianda KIZINIWA bila kujali jinsia.
Ndugu zangu mambo yanayoendelea huko bungeni kuhusu mahakama ya kadhi yanasikitisha sana. Inavyooelekea mahakama hiyo inaenda kukubalika kutokana na hoja zinazotolewa na ndugu zetu waislamu. Jambo hili linanitisha sana kwa sababu hakuna mtu anayepinga hoja hii, na kila mwakilishi wa kikristo akisimama anakwepa kabisa kuongelea jambo hili.
Mimi kama mwananchi wa kawaida kabisa, ninawatahadharisha kwamba iwapo mtajaribu kuweka jambo lolote linalohusu mahakama ya kadhi sisi WAKRISTO (CHRISTIANS) tutapiga kura ya hapana kwa katiba itakayopendekezwa. Nawahakikishia ndugu wajumbe wa bunge maalumu, hakuna mkristo atakaye iunga mkono katiba hiyo na haitopita.
Jambo hili tumelipigia kelele kwa muda mrefu kwamba mambo ya dini binafsi yaamuliwe na dini husika. Sasa wajumbe wanavyojitoa ufahamu na kusahu kwamba hii sio nchi ya kiislamu, waendelee kujadili dini yao na waipitishe, ila nina apa iwapo jambo la kadhi litakuwepo, basi ni kura ya hapana kwa wakristo wote.
Mwisho, naomba wajumbe wa BMK wajadili mambo ambayo hayaamshi hisia za kidini na wajikite kwenye hoja zinazogusa watu wote, wasipofanya hivyo na wakajisahau, basi wasije wakamlaumu mtu.
Tunasema, Mahakama ya Kadhi ibaki kwa kadhi na waislamu. Hatutaki muiweke kwenye katiba yetu hata kidogo. Hivi nyie mnaona sisi ni mazezeta sana eeeh?
Sasa kama mnaitaka hiyo mahaka yenu amueni moja, either kuanzisha wenyewe na mgharamikie wenyewe au nendeni Kenya.
Because you don't know a thing and you are a Blind Follower of a fiendish cult.I don't need to tell you why !?.......who are you on this anyway !?........Ulamaa !?
La = hakuna
Ilaha = mungu (mwingine, iwe Yesu, Budha, Krishna, Hare Rama, Sai Baba au yule Wanyonyi)
Ila = isipokuwa
Allah = Mola Mwenyezi (Allah Swt)
Hapo Kenya kuna Mtu anaitwa Wanyonyi, anasema yeye ni Baba yake Yesu na yeye ndiye mungu mwenyewe !