Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

Kati ya majitu majinga kabisa ya Chadema ni wewe!, mimi sio Chadema, ila kwa vile ni mwandishi wa habari, nina some access ya intel!
  1. Barua iliyowapeleka Bungeni ni bonafide genuine letter na imesainiwa na kigogo wa Chadema ambaye ni officer bearer, Mdee kosa lake ni nini?!.
  2. Niliwashauri kitu toka ile day 1, CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  3. Mdee ni Mwenyekiti wa BAWACHA, mamlake ya nidhamu ni Baraza Kuu, mamlaka ya rufaa ni mkutano mkuu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kumfukuza?! Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?
  4. Kwa taarifa yako, labda ni wewe tuu ndio hujui, JJMnyika na Heche wameisha jua Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?
  5. Katika wanawake wote wa Chadema waliopo, hakuna wa calibre ya Mdee, Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
Kuna vitu ni vya Chadema wenyewe insider tuu, majitu majinga majinga kama hili, hayavijui!, Mdee kosa lake ni nini mpaka asiweze kusamehewa!, kama ni Chadema waliotangaza ile list ya mafisadi pale Mwembe Yanga na wakamsamehe kubwa lao, na kumfanya mgombea wao, wanashindwaje kumsamehe Mdee?!

Hebu acha hizo!, na kwa taarifa yako, Mdee akisamehewa, 2030 analitwaa jimbo la Kawe kama amelikota kwasababu mimi namjua mgombea wa CCM kawe 2030 ni mwanamke!, Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

P.
Kwamba Mdee akisamehewa, 2030 analitwaa Jimbo la Kawe, No! Kwa Tume hii hii na sheria hizihizi NO!

Vv
 
Haliama alipewa masharti ili kurudi CHADEMA.

1. Ataje ni nani alisaini barua zao.
Watu wenye akili wanamjua
2. Ni nani alipeleka barua za Viti Maalum kwa msajili wq vyama vya siasa.
Watu wenye akili wanamjua
3. Waliowasapoti walikuwa wanawapa bei gani.
hapa ni kumuonea bure Halima!
Hata hivyo hakuna chama kinakataa mwanachama mpya. Halima atakuwa mpya kwani alishafukuzwa.. Chadema hakuna sheria ya mtu akifukuzwa haruhusiwi kujiunga na chadema tena.
Chadema ndio inamuhitaji zaidi Halima kuliko Halima anavyo ihitaji Chadema
Chama ni watu..

Kama mkiristo nimefundishwa kusamehe wote waliotubu. Atuambie mbinu walizotumia iili tusiumizwe tena pia itasaidia kuziba mianya kwenye katiba ili mambo kama hayo yasitokee tena
Hili neno!.
Samehe saba mara sabini!.
P
 
Wewe green parasite CDM inakuhusu nn? Agongwe dem chumba kingine wewe wa chumba cha jirani unakojoa!!
punguza nonsense jukwaani gentleman ikiwa uko empty head hasa kwenye mambo useless kama lililoko jukwaani
 
Ndio maana mie sinaga chama, sasa hawa chadema kumrudisha yule mdee kundini si upuuzi huu, mnamrudishaje mtu aliyewasaliti, akaenda kuokota sasa hana kitu ndio arudi, upuuzi huo.
 
Na hii ndo tofauti yangu na wewe. Wewe unasema uongozi hauhusiki, lakini mimi naamini Wale wakina Mama wasingejipeleka Bungeni bila uongozi kushiriki. Naomba nikishauri kitu Usimtetee mwanasiasa sana hadi kujiapiza..
View attachment 3573611
Kusingizia mtu jambo kubwa Kama hili ni dhambi

Je Katiba ya Chadema inaruhusu Mbowe kuteua Viti Maalum?
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Maui mbowe ndo nguzo kuu wala si halima

Britanicca
 
Mwaka 2015 nilimpigia kura Halima kuwa mbunge jimboni Kawe na Hayati Magufuli kuwa Rais. Anakubalika sana. Wewe Erythrocyte ni sisimizi ndani ya CHADEMA. Huna unaloweza kufanya kuzuia Halima kurudi CHADEMA. Ninamuunga mkono Heche amrudishe Halima na wanachama wengine wote waliohamia CHAUMMA akiwemo Yericko Nyerere. Chama ni watu.
 
Mwaka 2015 nilimpigia kura Halima kuwa mbunge jimboni Kawe na Hayati Magufuli kuwa Rais. Anakubalika sana. Wewe Erythrocyte ni sisimizi ndani ya CHADEMA. Huna unaloweza kufanya kuzuia Halima kurudi CHADEMA. Ninamuunga mkono Heche amrudishe Halima na wanachama wengine wote waliohamia CHAUMMA akiwemo Yericko Nyerere. Chama ni watu.
Nimefurahishwa na chawa wa Samia kuingilia mjadala huu
 
Mkuu nakuelewa sana. Mimi mwenyewe nilikuwa namkataa sana Halima Mdee kurudi chamani. Lakini kwa namna ya utulivu aliouchukua Mdee bila kuchacharika kama wengine kuhamia vyama vingine,hasa kipindi cha uchaguzi inatosha kuona amejutia na kutafuta utulivu na kuwashawishi viongozi na wanachama kurudishwa kundini.

Jambo kubwa unalopaswa kuliona pia naamini Halima amebembelezwa sana ahamie ccm. Hasa kipindi cha uchaguzi. Na naamini ameahidiwa mambo lukuki kunauwezekano mpaka vyeo na hayo majitu, tawala zote. Lakini kwa ukomavu wa Halima Mdee bado alikataa na mavitu yote hayo. Bado akabakia na msimamo wake yeye ni mwanachama mtiifu kwa CHADEMA.

Naamini hata alivyokuwa bungeni kipindi kile amedanganywa naamini alijutia sana kwa ule uamuzi,na bado bungeni hakukengeuka kuanza kuhubiri habari za hawa wengine,bali akabakia kwenye reli ya CHADEMA kwenye matamshi yake bungeni.

Muhimu ujue hata mtoto ndani ya nyumba anakosea,kuna muda pia anaweza kusamehewa kulingana na toba yake kwa wazazi na familia. Kulingana na wakati huu haina haja ya kuendeleza malumbano ya akina Mdee. Tunasamehe.

Mimi pia namuombea wanaCHADEMA wamsamehe twende nae kwenye harakati za ukombozi.
Mkuu nakuelewa sana. Mimi mwenyewe nilikuwa namkataa sana Halima Mdee kurudi chamani. Lakini kwa namna ya utulivu aliouchukua Mdee bila kuchacharika kama wengine kuhamia vyama vingine,hasa kipindi cha uchaguzi inatosha kuona amejutia na kutafuta utulivu na kuwashawishi viongozi na wanachama kurudishwa kundini.

Jambo kubwa unalopaswa kuliona pia naamini Halima amebembelezwa sana ahamie ccm. Hasa kipindi cha uchaguzi. Na naamini ameahidiwa mambo lukuki kunauwezekano mpaka vyeo na hayo majitu, tawala zote. Lakini kwa ukomavu wa Halima Mdee bado alikataa na mavitu yote hayo. Bado akabakia na msimamo wake yeye ni mwanachama mtiifu kwa CHADEMA.

Naamini hata alivyokuwa bungeni kipindi kile amedanganywa naamini alijutia sana kwa ule uamuzi,na bado bungeni hakukengeuka kuanza kuhubiri habari za hawa wengine,bali akabakia kwenye reli ya CHADEMA kwenye matamshi yake bungeni.

Muhimu ujue hata mtoto ndani ya nyumba anakosea,kuna muda pia anaweza kusamehewa kulingana na toba yake kwa wazazi na familia. Kulingana na wakati huu haina haja ya kuendeleza malumbano ya akina Mdee. Tunasamehe.

Mimi pia namuombea wanaCHADEMA wamsamehe twende nae kwenye harakati za ukombozi.
Watu wengine bwana, huyu Erythrocyte si alikuwa upande wa Mbowe na akawa anampiga vita Lissu wakati wa kinyang'anyiro! Kila zama na masahibu yake, na Uzuri ni kuwa Mdee ameyaona makosa yake, akirudi naamini anaweza kuwa mwanachama bora. Ndiyo hatua ya ukomavu katika siasa.
 
Watu wengine bwana, huyu Erythrocyte si alikuwa upande wa Mbowe na akawa anampiga vita Lissu wakati wa kinyang'anyoro! Kila zama na masahibu yake, na Uzuri ni kuwa Mdee ameyaona makosa yake, akirudi naamini anaweza kuwa mwanachama bora. Ndiyo hatua ya ukomavu katika siasa.
Unaposema nilikuwa upande wa Mbowe na kwamba nilimpiga vita Lissu unaweza kuweka kijiushahidi kidogo?

Siku zote Mimi nimekuwa upande wa Chadema, sijawahi kuwa upande wa Mtu, na wala sijawahi kulipwa bali natumia hela zangu kwa ajili ya Chadema

Ni dhambi kumsingizia mtu uongo
 
Unaposema nilikuwa upande wa Mbowe na kwamba nilimpiga vita Lissu unaweza kuweka kijiushahidi kidogo?

Siku zote Mimi nimekuwa upande wa Chadema, sijawahi kuwa upande wa Mtu, na wala sijawahi kulipwa bali natumia hela zangu kwa ajili ya Chadema

Ni dhambi kumsingizia mtu uongo
Nitakuumbua hapa ujue
 
Back
Top Bottom