Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,574
Kwani ujui mombasa yote ni mali ya visiwaniPemba itakuja kuwa part of Kenya ikiwa tutapeleka Tanzania ICJ. Endeleeni kusherehekea hawa mashetani ICJ.
Kwani ujui mombasa yote ni mali ya visiwaniPemba itakuja kuwa part of Kenya ikiwa tutapeleka Tanzania ICJ. Endeleeni kusherehekea hawa mashetani ICJ.
Sie tukichora horizintal kutokea kilimanjaro mombasa itakua wapi?Sitetei upande wowote ule.....
Ila.....
Nimefuatilia madai ya Somalia na kuniachia "maswali mengi"....
Yaani wamechora "horizontal line" sawa na mpaka wao na Kenya!!
Imagine Kenya nayo ingechora "horizontal line" na mpaka wa Tanzania.....hwenda Pemba ingekuwa Kenya......
Huu mgogoro isijekuwa UNACHOCHEWA NA WATU WA NJE HUKO kwa sababu ya maslahi yao binafsi........
Ujue kuna international organs ambazo Somalia itatumia kuidhibiti Kenya,Somalia sio wajinga wafanye hivyo,walijua hawana nguvu ya kupigana na Kenya,Ila Wana njia nyingine wanayojua.Somalia hana chake ,hapo ila kuna watu wanashabikia kwa maisimko wa kidini uliojificha ,hata kams ikiwa kwa vita KENYA iko vizuri sana ,somalia inachochewa na mataiafa yenye itikadi kali wana lao jambo ,ila wasahau mipaka huwa haibadilishwi hovyo hovyo kuna rejea vitabu ,historia ya mahali husika ...kama wanataka wachangamshe na kenya wajaribu
sent from HUAWEI
Muda sahihi utaamua ,unakumbuka inshu ya isrel kuvamiwa na matifa ya uarabuni walijua wansifuta kumbe wao ndio wakafutwa yetu macho utaona na mmarekani na mwingereza wapo nyuma ya kenya ww tusubiri muda utaamuaUjue kuna international organs ambazo Somalia itatumia kuidhibiti Kenya,Somalia sio wajinga wafanye hivyo,walijua hawana nguvu ya kupigana na Kenya,Ila Wana njia nyingine wanayojua.
Exactly my thoughtsmipaka kaweka mkoloni, waafrika tunagombea, halafu hakimu ni huyo huyo mkoloni...very sad!
worst thing is ..we can go to war because of the judgement!Exactly my thoughts
So sad, Africa needs redemption., tumepagawa kiukweli.worst thing is ..we can go to war because of the judgement!
War could happen