Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmewai kuwachapa lini?...ni nyie tu ndo mnaathirika na hyo vitaKenya imechoka kubembeleza punda kwenye mteremko. Hawa Shabab wamekimbia kwenye mahakama ya kimataifa eti kujaribu kunyakua mipaka ya Kenya. Lakini Kenya imeshasema haitambui judgement itakayotolewa na mahakama ya ICJ. Kenya itaendelea kulinda mipaka yake kama kawaida.
Malawi,etcMbona Tanzania haichokozwi chokozwi 😂😂
Jueni Somalia wakona ally*Uturuki,lakini Kenya pia ina allies hatari kama Britain,France,Israel,America,India na marafiki zao,etc,Watanzania msisherehekee na Somalia ikifanya hivyo pia kenya itafanyia hivo Tanzania ifanyie hivyo Mozambique ifanyie hivo South Africa!!Ujue pia Germany iko macho na hio case ya Somalia sababu itaafect Mpaka Tanzania,na Germany haitaki huo mchezo!! Pia ujue Somalia haitaki war confrontation na Kenya sababu hio inaweza anzisha World war ingine hivo Tuu sababu kunaonekana kumenyamaza lakini Biggest millitary powers zinaangalia kwa macho wakingojea,Na mjue America na Britain wamecamp na mashini zao za kivita ready!! Ukumbuke pia Juzi America ilituma Meli yao ya kivita kwenye Indian Ocean ili kuonya mturuki indirectly!!!Mambo yanaweza yakaharibika
nikuulize unajua kwanini America ilituma meli kubwa yao ya kivita Indian Ocean wat do you think was the message they were sending??Unafahamu Training ambazo Jeshi ya Britain inafanya na Vikosi za Kenya,Unafahamu the amount of Britain Millitary equipment ambazo zinaletwa almost everyday huku Kenya??Je unafahamu The amount of Weapons Kenya has bought na ziko tu store ungejiuliza ni za nini??Je unajiuliza India na venye haipendi waislamu wanaeeza wakaitikia Waharibu biashara yao,Do you know the amount of business India has invested in Kenya??Do you know how many Kenya millitary superpowers allies are intrested in this Case??? Tena ukumbuke Kenya iko na pesa if we decide to concentrate in war wat we can do???And you Tanzanian There you are happy wakati your neighbour anaharibikiwa na ujuwe if we becomes like war people tutasababisha majimambo EAC,Mchunge moto isikasambae kwenu uliza Afghanstan na pakistan na Iraq wat is the consequences of war!!!??Uchambuzi makini saana kuwa vita ya somalia na kenya inaweza kusababisha world war
ona washirika wako USA,UK,france, wote hao ni mabepari mfano uingereza hajawai kuingilia vita yoyote direct africa
france katoka nduki nchi nyingi za africa na yupo anapoteza ushawishi
USA anajulikana yeye anachojari ni maslahi yake tu hana rafiki wa kudumu
Anaempa kiburi somalia ni uturuki taifa ambalo linatafuta ushawishk kwa nguvu now day that why anaingia kwa nguvu zote kusaidia washirika wake na anafanya vita kama sehemu ya kutangaza silaha zake za kivita uturuki kawadindia USA na Russia Libya na kawatandika haswa, vita ya Armenia and Azerbaijan nadhani umeona mwenyewe alichokifanya uturuki na kama uturuki asingeingilia Azerbaijan angepigwa
pia now day USA ana tension ya china na Taiwan Israel yupo anaviziana na Iran huko Azerbaijan
all in all kaeni mezani mpiganie angalau mpate 50%
unasema America ilitoroka Afghanstan ama walifukuzwa,Raia wa Afghanistan walikuwa for 20good years wanaishi maisha mzuri wakiwa wanalindwa mpaka wakajisahau na kudharau America!!!Do you know the Amount of minerals ambazo ziko chini ya ardhi ya Afghanstan unathani America ingewaachanisha tu hivo!America waliona hawatakikakani huko na wakaamua kuondoka ndio Afghanstan ijijutie yenyewe!!! Alafu wwe hujui India hawapendi waisilamu??Do you know Kabul in India huko ndio waislamu wanaishi do you know wat is happening there??Je unafahamu inchi zenye ni maadui na India???Achana na kutuma meli kubwa ya kivita USA alikuwa na kambi kubwa saana ya Anga Afghanistan na alitumia mamilion ya dollars lkn kaondoka kikubwa ni maslahi tu
alafu unasemaje India haipendi waslamu na aliyakuwa nchin kwake kuna Muslim pia
vita ya nchi na nchi ni faida kwa majirani hasa jirani ambae hatofungamana na upande wowote
Na Mombasa ni mali ya Tanzania. Mjaribu muone, kama kweli Pemba ni mali ya Kenya. Unafanya mchezo nini?Pemba itakuja kuwa part of Kenya ikiwa tutapeleka Tanzania ICJ. Endeleeni kusherehekea hawa mashetani ICJ.
Acha ujinga....hakuna world war itapiganwa coz of Somalia and Kenya.Jueni Somalia wakona ally*Uturuki,lakini Kenya pia ina allies hatari kama Britain,France,Israel,America,India na marafiki zao,etc,Watanzania msisherehekee na Somalia ikifanya hivyo pia kenya itafanyia hivo Tanzania ifanyie hivyo Mozambique ifanyie hivo South Africa!!Ujue pia Germany iko macho na hio case ya Somalia sababu itaafect Mpaka Tanzania,na Germany haitaki huo mchezo!! Pia ujue Somalia haitaki war confrontation na Kenya sababu hio inaweza anzisha World war ingine hivo Tuu sababu kunaonekana kumenyamaza lakini Biggest millitary powers zinaangalia kwa macho wakingojea,Na mjue America na Britain wamecamp na mashini zao za kivita ready!! Ukumbuke pia Juzi America ilituma Meli yao ya kivita kwenye Indian Ocean ili kuonya mturuki indirectly!!!Mambo yanaweza yakaharibika
endelea kuishi kwa matumaini mkianza kupigana watawauzia silaha hakuna msaada zaidi ya huo.Jueni Somalia wakona ally*Uturuki,lakini Kenya pia ina allies hatari kama Britain,France,Israel,America,India na marafiki zao,etc,Watanzania msisherehekee na Somalia ikifanya hivyo pia kenya itafanyia hivo Tanzania ifanyie hivyo Mozambique ifanyie hivo South Africa!!Ujue pia Germany iko macho na hio case ya Somalia sababu itaafect Mpaka Tanzania,na Germany haitaki huo mchezo!! Pia ujue Somalia haitaki war confrontation na Kenya sababu hio inaweza anzisha World war ingine hivo Tuu sababu kunaonekana kumenyamaza lakini Biggest millitary powers zinaangalia kwa macho wakingojea,Na mjue America na Britain wamecamp na mashini zao za kivita ready!! Ukumbuke pia Juzi America ilituma Meli yao ya kivita kwenye Indian Ocean ili kuonya mturuki indirectly!!!Mambo yanaweza yakaharibika
Sasa ni yupi hapo wa kupigana naye?
Vita vitawaharibia utalii wao huo wa Arusha,sijui Serengeti na Kilimanjaro.nikuulize unajua kwanini America ilituma meli kubwa yao ya kivita Indian Ocean wat do you think was the message they were sending??Unafahamu Training ambazo Jeshi ya Britain inafanya na Vikosi za Kenya,Unafahamu the amount of Britain Millitary equipment ambazo zinaletwa almost everyday huku Kenya??Je unafahamu The amount of Weapons Kenya has bought na ziko tu store ungejiuliza ni za nini??Je unajiuliza India na venye haipendi waislamu wanaeeza wakaitikia Waharibu biashara yao,Do you know the amount of business India has invested in Kenya??Do you know how many Kenya millitary superpowers allies are intrested in this Case??? Tena ukumbuke Kenya iko na pesa if we decide to concentrate in war wat we can do???And you Tanzanian There you are happy wakati your neighbour anaharibikiwa na ujuwe if we becomes like war people tutasababisha majimambo EAC,Mchunge moto isikasambae kwenu uliza Afghanstan na pakistan na Iraq wat is the consequences of war!!!??