kuhusu confirmation code awamu ya pili

kuna jamaa aliconfrm sua anasema walmtumia regstration number joining na application letter at the same time ndugu yangu aliconfrm sua ndio walimtumia admission letter na joining lakin nilimuuliza kama wametuma pia registration number akasema hapana naomba msaada kuna tatzo hapa ?
 
Back
Top Bottom