Omarion emmyriano
Member
- Sep 7, 2018
- 94
- 30
Duh yan apa tutegemeee kupata code ata next week yan coz first round walisumbuka sanaaa ko na sisi tutasumbuka pia ivo ivo naamini
Nimeona hio ID yako nimecheka sana.Codes wanaweka walioomba chuo zaid ya kimoja, kama uliomba chuo 1 tu una comfirm hakuna code
Yan sio TCU tu mkuu yan taasisi nyingi yan namba wanazoweka kwenye web page zao uwa n bosheni tu lakini azipokelewagi yan sisi tuvute subira tuKila Kitu Tanzania 2konyuma,,, Hao TCU Ukiwapigia Hawapokei Simu Na Kwenye Social Pages Zao Wala Hawajib Nadhani Wanatakiwa Wajitahmini Kwann Waweke Namba Za Cm Kama Hawapokei
wakuu code zishaaza kutumwa wamenitumia sasa
Hongera.... Mm nimechaguliwa chuo zaid y kimoj lkn kwenye list ya tcu wenye multiple selection skuwemo... Ss sielewi hat km izo code ntatumiwawakuu code zishaaza kutumwa wamenitumia sasa
mi nimetumiwa lakn code yenyewe majangaa hai connectHongera.... Mm nimechaguliwa chuo zaid y kimoj lkn kwenye list ya tcu wenye multiple selection skuwemo... Ss sielewi hat km izo code ntatumiwa
Duh! Yn mpak kwenda huko chuoni... Kijasho kimetutokami nimetumiwa lakn code yenyewe majangaa hai connect
Hatarii sanaa me mwenyewe ht kwa list ya tcu sikuepo ila nipo multtple akat nimeona nimechaguliwa chuo kimoja tu code yenyyew haikonect afu mwisho wa kuthibitisha wanasema trh 5Duh! Yn mpak kwenda huko chuoni... Kijasho kimetutoka
chuo gaan imegoma........hata mi imegomaaKuna mtu katumiwa code ambayo imekubali kuconfirm?, maana mimi yangu imekataa
tayarKo code zshaanza kutumwa
watatuma leo may beWengne atujazipata duh