kuhusu confirmation code awamu ya pili

kuhusu confirmation code awamu ya pili

jaman atakae pata code atupe mrejeshoo maana udom walisema leo wanaaza kutumaa maana hapa kuna changamoto mbili tu kupata code na comfirmation letter shuhulii ipo hapaa.......
 
Mbna xx taarfa yeyote ijasemwa na mda unaenda kwan udom walatangaza kwenye mtandao au
walinipigia simu jana wa comfirm kama ntaenda na wakaniambia zoezi la kutuma code litaaza si mda mrefu leo wamenambia wapo wanaziandaa ni nying leo au kesho zitakua zishatumwaaa
 
Wanaboa Sana Mfumo Wa Code Tangia First Selection Uliwashinda Walitakiwa Watafute Alternative Way
 
Back
Top Bottom