Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.