kibangubangu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 212
- 285
Kuhonga siyo tusi,kuhonga ni kumpa mtu kila kitu anachotaka awe amekuomba au hajakuomba,we unampa tu yani!
Hii mara nying hufanywa na mhongaji akijaribu kuonesha kumjali na kumpenda mhongwaji na mara nyingne kumpunguzia tamaa mhongwaji ili asije akatamani vitu kama hvyo kwingine.
Unajua nin?Hua nasikitika sana kuona mhongaji mmoja eti kapiga au,kaua mwanamke au,kapata ugonjwa wa moyo au kakonda kwa stress,kisa eti mwanamke aliyekuwa anampenda na kumhonga kila kitu,yaani kamuhonga,karibu mali zake zote,kamuacha au kamsaliti?
Wakati huohuo huyo aliyesalitiwa utakuta ni msomaji mzuri wa vitabu vitakatifu vya dini!Na anamjua vizuri kabisa mama wa wanawake wote aitwaye Eva,na bado huyu mwanaume anashangaa kusalitiwa na aliyekuwa anamuhonga....huu ni ujinga mkubwa kabisaa!
Hivi vitabu vipo kutusaidia kujuana asili zetu,ili tujue tuishi vp pamoja!
Hivi unamfahamu mama wa wanawake wote duniani aliye kuwa anaitwa EVA.....?
Hebu nambie mwanamke huyu alikosa nini jamani....?
Yani mwanamke huyu alihongwa DUNIA,siyo nyumba alihongwa DUNIA na NA KILA KITU KILICHOPO NDANI YAKE!
Siyo wewe unahonga nyumba na makochi yake
unajiona kidume!
Mungu alimpa uhai kisha akamuhonga dunia na kilakitu kilichopo ndani yake!
Bado Mungu akampa mume mpole,hajui kupiga wala hachepuki.
Hebu fikilia leo unahongwa dunia na kila kitu kilichopo ndani yake JAMANIII?...
Licha ya mwanamke kupewa vyote hivyo lakini BADO MUHUNI MMOJA (shetani).Aliweza kumrubuni mwanamke huyo...!
Mwanamke huyu aliyehongwa vitu vya thamani akadanganyika kwa vitu vidogo na vya kipumbavu kabisa!
Eti nitakupa uwezo wakujua jema na baya?sasa jema na baya la kaz gani?Wanawake bwana...
Kwa ujinga wake na kwa udhaifu wake akamsaliti baba yake ambaye ni Mungu,akamsaliti na mume wake Adamu,akachepuka na muhuni mmoja (shetani) akimuahidi ahadi za kijinga!
Shetani akafanikiwa kula mzigo, Eva akazaa watoto wa nje ya ndoa,Kain na Abeli,Adamu alijua kabisa wale watoto sio wake ni wa mchepuko,lakini maskin mwanaume mpole yule bado aliwalea watoto haramu,watoto walio leta laana ya kifo na kuuana duniani!
Mtu wa kwanza kufa duniani ni Abeli na mtu wa kwanza kuua ni kaini hawa wote ni vizazi vya nyoka (shetani)
Mwanamke aliyetolewa usichana wake na Shetani,hakufaa tena kwa matumizi kwa adam,sababu bikra ni kitu cha thamani kwa mwanamke.
Lakini Adamu kwa ujinga akabembelezwa na Eva hadi akukubali kula makombo ya shetani,kwa kulala na Eva mwanamke asiye na bikra.
Adamu akarembuliwa macho,akategwa akategeka,akatembea na Eva hadi akampa ujauzito,mwanamke asiye na bikra akabeba mimba ya Adamu.
Ndipo Sethi akazaliwa,Mtoto wa Kwanza wa Adam,ambaye ni mtoto wa tatu wa Eva!
Unajua shetani baada ya kumdanganya mwanamke,na akafanikiwa kumzalisha watoto wawili,akaona haitoshi.
Akamshawishi Eva akamrubuni Mumewe,kipindi akiwa kwenye siku za kupata ujauzito ili walale nae azae pia na Adam.
Lengo ni kwamba watoto wa Adamu wakizaliwa watakua ni watakatifu,watoto hao alitaka waje wazaane na kizazi chake cha nyoka,ili kuendeleza kizazi chake shetani.Na kukichafua kizaz cha Adam.
Hawa akakubali akaanza kumtega adamu!
Adamu alisha tambua kua Eva tayari hafai kwa matumizi,sababu amesha zaa na malaika (malaika mbaya)bikra yake haipo tena.
Adamu alivumilia miaka zaidi ya 100,bila kumgusa Eva.
Lakini Eva baada ya makubaliano na Shetani alipoona siku zake za kushka mimba zimefika,akaanda mitego ya kibabe,Adamu hakuchomoa, Eva akafanikiwa kumuangusha dhambini adamu,
Wakati Adam na hawa wanagegedana,Mungu akawakurupusha...
Walivyostuka Adamu akajiziba tupu yake kwa mikono.
Eva naye akajiziba tupu yake kwa mikono!
Hawaamini kinacho endelea...yaani mshua ameona mchezo?hatari tupu!
Akamuuliza Adamu unafanya nini?....hahaaa swali gumu hilo....
Adamu hakujibu akajitetea akasema ni huyu mwanamke ndo kanishawishi!
Mwanamke naye akasema siyo mimi ni Shetani!
Basi dhambi ikawa imeingia kwa wote,Eva akapata mimba ya adamu akazaa mtoto anayefanana na adamu,akamwita Seth!
Hivyo watoto wa Seth wakaja wakazaana na watoto wa Kaini,hivyo kizaz cha nyoka kikaendelezwa,ambapo kila mto mto anayezaliwa na kizaz hiki cha nyoka huwa amebeba dhambi ile ya asili,ya uzinzi na usaliti!
Hivi unajua ni maumivu gani Mungu alipata kwa usaliti huu!Basi maumivu aliopata Mungu yatakua mara milioni ya wewe uliye honga kigari tu,mwanamke akakusaliti eti unatishia kuua...!!Hebu tulia huko....alaah!
Kibaya zaidi mwanamke kasaliti,dume na lenyewe kwa ujinga wake,likatumbukia na lenyewe humo humo kwenye dhambi!
Unajua nini?Mungu kwanza alimuona Adamu kama boya flani hivi,mzubaifu mmoja,haiwezekani muhuni akaja akakupigia mkeo na wewe upo unashangaa....na bado mwanake ameondolewa bikra na wewe unaenda kutumbukia humo humo,kisa tu kakurembulia mimacho yake...
Mungu akamwona Adamu ni mume bwege,mjinga mmoja,bongolala moja,ndo mana akampa Adamu adhabu za kuponda zege yeye nazao wa jinsia yake, ili akili zao ziteteme kidogo,ndo maana hadi leo wanaume tunaponda zege.....ili akili ziwe active!
Eva naye akapewa adhabu ya uzinifu,yeye na uzao wa jinsia yake,kwamba utazaa kwa maumivu makali....
Lakini mja asili haachi asili licha ya kuambiwa watazaa kwa uchungu hawajaacha kupachika watoto wa nje ya ndoa!
Unakuta familia ina watoto watano wawili feki!hahaaa...
Huna haja ya DNA,hilo ni tangu asili adamu alijua mke wake kachepuka na kamzalia watoto wa nje,lakini akachukulia poa,na bado akajazilizia mtoto wa tatu juu...wewe unaepata hasira sababu ya usalit wa mwanamke utaishia jela bure...kuwa mpole tu!
Wewe mhonge gorofa mkeo harafu zubaa zubaa kama Adam alivyo zubaa kule EDEN,kama houseboy asipo mhonga mkeo vichekesho tu...na akala mzigo...!
Muishi nao kwa akili,siyo minguvu mtafeli!
Hii mara nying hufanywa na mhongaji akijaribu kuonesha kumjali na kumpenda mhongwaji na mara nyingne kumpunguzia tamaa mhongwaji ili asije akatamani vitu kama hvyo kwingine.
Unajua nin?Hua nasikitika sana kuona mhongaji mmoja eti kapiga au,kaua mwanamke au,kapata ugonjwa wa moyo au kakonda kwa stress,kisa eti mwanamke aliyekuwa anampenda na kumhonga kila kitu,yaani kamuhonga,karibu mali zake zote,kamuacha au kamsaliti?
Wakati huohuo huyo aliyesalitiwa utakuta ni msomaji mzuri wa vitabu vitakatifu vya dini!Na anamjua vizuri kabisa mama wa wanawake wote aitwaye Eva,na bado huyu mwanaume anashangaa kusalitiwa na aliyekuwa anamuhonga....huu ni ujinga mkubwa kabisaa!
Hivi vitabu vipo kutusaidia kujuana asili zetu,ili tujue tuishi vp pamoja!
Hivi unamfahamu mama wa wanawake wote duniani aliye kuwa anaitwa EVA.....?
Hebu nambie mwanamke huyu alikosa nini jamani....?
Yani mwanamke huyu alihongwa DUNIA,siyo nyumba alihongwa DUNIA na NA KILA KITU KILICHOPO NDANI YAKE!
Siyo wewe unahonga nyumba na makochi yake
unajiona kidume!
Mungu alimpa uhai kisha akamuhonga dunia na kilakitu kilichopo ndani yake!
Bado Mungu akampa mume mpole,hajui kupiga wala hachepuki.
Hebu fikilia leo unahongwa dunia na kila kitu kilichopo ndani yake JAMANIII?...
Licha ya mwanamke kupewa vyote hivyo lakini BADO MUHUNI MMOJA (shetani).Aliweza kumrubuni mwanamke huyo...!
Mwanamke huyu aliyehongwa vitu vya thamani akadanganyika kwa vitu vidogo na vya kipumbavu kabisa!
Eti nitakupa uwezo wakujua jema na baya?sasa jema na baya la kaz gani?Wanawake bwana...
Kwa ujinga wake na kwa udhaifu wake akamsaliti baba yake ambaye ni Mungu,akamsaliti na mume wake Adamu,akachepuka na muhuni mmoja (shetani) akimuahidi ahadi za kijinga!
Shetani akafanikiwa kula mzigo, Eva akazaa watoto wa nje ya ndoa,Kain na Abeli,Adamu alijua kabisa wale watoto sio wake ni wa mchepuko,lakini maskin mwanaume mpole yule bado aliwalea watoto haramu,watoto walio leta laana ya kifo na kuuana duniani!
Mtu wa kwanza kufa duniani ni Abeli na mtu wa kwanza kuua ni kaini hawa wote ni vizazi vya nyoka (shetani)
Mwanamke aliyetolewa usichana wake na Shetani,hakufaa tena kwa matumizi kwa adam,sababu bikra ni kitu cha thamani kwa mwanamke.
Lakini Adamu kwa ujinga akabembelezwa na Eva hadi akukubali kula makombo ya shetani,kwa kulala na Eva mwanamke asiye na bikra.
Adamu akarembuliwa macho,akategwa akategeka,akatembea na Eva hadi akampa ujauzito,mwanamke asiye na bikra akabeba mimba ya Adamu.
Ndipo Sethi akazaliwa,Mtoto wa Kwanza wa Adam,ambaye ni mtoto wa tatu wa Eva!
Unajua shetani baada ya kumdanganya mwanamke,na akafanikiwa kumzalisha watoto wawili,akaona haitoshi.
Akamshawishi Eva akamrubuni Mumewe,kipindi akiwa kwenye siku za kupata ujauzito ili walale nae azae pia na Adam.
Lengo ni kwamba watoto wa Adamu wakizaliwa watakua ni watakatifu,watoto hao alitaka waje wazaane na kizazi chake cha nyoka,ili kuendeleza kizazi chake shetani.Na kukichafua kizaz cha Adam.
Hawa akakubali akaanza kumtega adamu!
Adamu alisha tambua kua Eva tayari hafai kwa matumizi,sababu amesha zaa na malaika (malaika mbaya)bikra yake haipo tena.
Adamu alivumilia miaka zaidi ya 100,bila kumgusa Eva.
Lakini Eva baada ya makubaliano na Shetani alipoona siku zake za kushka mimba zimefika,akaanda mitego ya kibabe,Adamu hakuchomoa, Eva akafanikiwa kumuangusha dhambini adamu,
Wakati Adam na hawa wanagegedana,Mungu akawakurupusha...
Walivyostuka Adamu akajiziba tupu yake kwa mikono.
Eva naye akajiziba tupu yake kwa mikono!
Hawaamini kinacho endelea...yaani mshua ameona mchezo?hatari tupu!
Akamuuliza Adamu unafanya nini?....hahaaa swali gumu hilo....
Adamu hakujibu akajitetea akasema ni huyu mwanamke ndo kanishawishi!
Mwanamke naye akasema siyo mimi ni Shetani!
Basi dhambi ikawa imeingia kwa wote,Eva akapata mimba ya adamu akazaa mtoto anayefanana na adamu,akamwita Seth!
Hivyo watoto wa Seth wakaja wakazaana na watoto wa Kaini,hivyo kizaz cha nyoka kikaendelezwa,ambapo kila mto mto anayezaliwa na kizaz hiki cha nyoka huwa amebeba dhambi ile ya asili,ya uzinzi na usaliti!
Hivi unajua ni maumivu gani Mungu alipata kwa usaliti huu!Basi maumivu aliopata Mungu yatakua mara milioni ya wewe uliye honga kigari tu,mwanamke akakusaliti eti unatishia kuua...!!Hebu tulia huko....alaah!
Kibaya zaidi mwanamke kasaliti,dume na lenyewe kwa ujinga wake,likatumbukia na lenyewe humo humo kwenye dhambi!
Unajua nini?Mungu kwanza alimuona Adamu kama boya flani hivi,mzubaifu mmoja,haiwezekani muhuni akaja akakupigia mkeo na wewe upo unashangaa....na bado mwanake ameondolewa bikra na wewe unaenda kutumbukia humo humo,kisa tu kakurembulia mimacho yake...
Mungu akamwona Adamu ni mume bwege,mjinga mmoja,bongolala moja,ndo mana akampa Adamu adhabu za kuponda zege yeye nazao wa jinsia yake, ili akili zao ziteteme kidogo,ndo maana hadi leo wanaume tunaponda zege.....ili akili ziwe active!
Eva naye akapewa adhabu ya uzinifu,yeye na uzao wa jinsia yake,kwamba utazaa kwa maumivu makali....
Lakini mja asili haachi asili licha ya kuambiwa watazaa kwa uchungu hawajaacha kupachika watoto wa nje ya ndoa!
Unakuta familia ina watoto watano wawili feki!hahaaa...
Huna haja ya DNA,hilo ni tangu asili adamu alijua mke wake kachepuka na kamzalia watoto wa nje,lakini akachukulia poa,na bado akajazilizia mtoto wa tatu juu...wewe unaepata hasira sababu ya usalit wa mwanamke utaishia jela bure...kuwa mpole tu!
Wewe mhonge gorofa mkeo harafu zubaa zubaa kama Adam alivyo zubaa kule EDEN,kama houseboy asipo mhonga mkeo vichekesho tu...na akala mzigo...!
Muishi nao kwa akili,siyo minguvu mtafeli!