Ben Mugashe
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 999
- 618
Laki 5mpwaa tofari ngapi? Kamjengee mama yako kijijini
Ha haa haaa! Km utahonga laki 5 na usipewe,utakuwa na magunia mangapi ya noti!?Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
hata maandiko yanasema mwanaume atakula kwa jasho..
but wanawake wanazaa kwa uchungu. Lakini baadhi ya wanaume wanata kula bila jasho.
umeona uanzishe uzi mpyaaa yan kutoka kwa magada yake pyaaaaa unakumbuka kule nilikwambia acha kujisifia???
Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
Honey hiyo ID nishaishughurikia imeunganishwa ni ID ya Wagiriki hiyo, hizo ni dalili wa mtu mwoga.Kwa hio mienapenda miteremko? Tuheshimiane Matola hajashindwa kunitunza you know!
na mwanamke atazaa kwa tabu,mbona hapo umeparuka?
Mtandao upi Huo mkuuInauma sana unajibaana,mwisho wanachukua ka wametumwa! Dawa ni kuvunja mtandao tu inasaidia flan