Kuonga ni wajibuKuhonga kipaji
Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
Kunakila sababu yakuchunguzwa akili zako unahonga fedha au chochote kwa mwanamke ambaye huna undugu naye huo niubwege wahali ya juu
Mimi sijawahi kuhonga na mwanamke kama yuko tayari kukaa nami aje moja kwa moja na barua yakuomba kuolewa hapo nitatoa mahali na mambo mengine madomadogo
Hawa watoto hawataki mistari mingi. Muulize account ya benk kisha mwaga noti bana. Tunapiga job kwaajiri ya malkia bana.
Hahaha shogaa ongeza kidogo afu ukipewa unipunguzie
Ni pm account yako. Ila usiwe dume.
Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
hata wekundu hana!