Kuhonga ni jambo ambalo halikwepeki

Kuhonga ni jambo ambalo halikwepeki

Ndungu wanaume.

Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!

Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.

Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.

Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.

Hatutaki kuamini hayo tunayoyasikia lakini pia hatutayapuuzia........
 
"Kuhonga ni jambo ambalo halikwepeki".....by Annael wa JF

Related:
Penye udhia, penyeza rupia
pesa sabuni ya roho
mkono mtupu haulambwi
mwanamke hupigwa kwa upande wa khanga
ukitaka kula na wewe kubali kuliwa japo kidogo.....By JK
 
Ndungu wanaume.

Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!

Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.

Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.

Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.

Kunakila sababu yakuchunguzwa akili zako unahonga fedha au chochote kwa mwanamke ambaye huna undugu naye huo niubwege wahali ya juu
Mimi sijawahi kuhonga na mwanamke kama yuko tayari kukaa nami aje moja kwa moja na barua yakuomba kuolewa hapo nitatoa mahali na mambo mengine madomadogo
 
Kunakila sababu yakuchunguzwa akili zako unahonga fedha au chochote kwa mwanamke ambaye huna undugu naye huo niubwege wahali ya juu
Mimi sijawahi kuhonga na mwanamke kama yuko tayari kukaa nami aje moja kwa moja na barua yakuomba kuolewa hapo nitatoa mahali na mambo mengine madomadogo

Duh! Mwanamke aje!! Mwanamke kuwa na wewe lazima kuna sababu. Mwanamke hawi na mwanaume hovyo hovyo. Kumbuka WOMAN Well organised man.
 
Wanaume jitaidi kutumia mdomo kuliko fedha kuhonga hakuna faida yoyote zaidi yakujitia hasara
 
Kwa hio mienapenda miteremko? Tuheshimiane Matola hajashindwa kunitunza you know!

Huyo hajui kukaa na wanawake achana nae. Anachuki binafsi kwako.
 
Last edited by a moderator:
Ndungu wanaume.

Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!

Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.

Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.

Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.

Big no mkuu
 
Back
Top Bottom