Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 584
Hahaha kweli umpe MAMA atakubariki Mara 1000,0000Laki 5mpwaa tofari ngapi? Kamjengee mama yako kijijini
Hahaha kweli umpe MAMA atakubariki Mara 1000,0000Laki 5mpwaa tofari ngapi? Kamjengee mama yako kijijini
Hahaha duh vijana tutafilisika kuwaNdungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
Ndio hivyo bana. Akipendacho binti mwanaume lazima anunue. Tunapiga kazi ngumu kwaajiri ya malkia.
we mjamaaa...unaonekana kimwaga sana...
but wanawake wanazaa kwa uchungu. Lakini baadhi ya wanaume wanata kula bila jasho.
Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
Annael Mambo? 😉Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.
Nakumbuka kabisa. Ila ni asili yangu kuhonga na najisikia fahari mwanamke kipenzi akitaka kitu kwangu.
Nani atamtunza zaidi yangu?
Ndungu wanaume.
Ni asili na jadi kumhonga mwanamke. Huwa nawashangaa sana wanaume wabahili!
Unakuta mwanaume unamhonga mwanamke laki tano unamsumbua mtoto wa watu mpaka anakukimbia kabisa.
Ukihonga sio lazima upewe. Unapo muhonga mwanamke weka mawazoni unatoa sadaka sio kama unafanya biashara.
Hawa watoto mbona ni wetu tu kila siku!!!.