Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,845
🤣🤣🤣NAKAZIA,na uzi ufungwe
Kiukweli hilo la kugongewa sahiv haliwez nisumbua sana,hata ikitokea nitalichukulia simpo tu
🤣🤣🤣NAKAZIA,na uzi ufungwe
Kiukweli hilo la kugongewa sahiv haliwez nisumbua sana,hata ikitokea nitalichukulia simpo tu
Hebu Analyse tupe mfano wa cheating ambayo unaweza kuirekebishacheating ambayo naweza kuirekebisha
🤣🤣🤣Mkuu hicho kipande ulichokimega, ni upotoshaji. Hebu quote sentence nzima, then tuanzie hapo 😅😅😅
Chukua sentence yote. Unakuwa kama waandishi wa habari wa Tz 😅😅😅
💯🤝Siwezi kukushauri Nini cha kufanya,uhamuzi ni wako.
Tumwambie waachane,then baadae tuje kuonekana sasa ndio nuksi? 😅😅💯🤝
Mungu ana busara sana
Kwenye kipengele cha kusalitiwa alimwachia aliyesalitiwa ajifanyie maamuzi mwenyewe KUSAMEHE au KUTOA TALAKA
😀😀😀 Kabisa.Tumwambie waachane,then baadae tuje kuonekana sasa ndio nuksi? 😅😅
Yeah, ili chochote utakachoamua kiwe ni juu yako😀😀😀 Kabisa.
Yaani mtu akisalitiwa hahitaji afanyiwe maamuzi. Akae chini apime hali yeye mwenyewe asamehe au waachane
Hapo si wazazi, si ndugu wala marafiki, si viongozi wa dini, si mwanasheria wa kumruhusu amfanyie maamuzi.
Ina spy hadi kwenye social media? Whatsapp, facebook, twitter, instagram n.kLetmespy
💯🤝Hamna kitu kinauma kama ugongewe demu ambaye umebeba majukumu yote kwake. Unamlisha, kumvisha na kumgharamia starehe zake zote.
Braza usiombe, maumivu yake ni zaidi ya kujikwaa kidole kwenye jiwe.
💯🤝Hiii,kugongewa ni shida mno ,waweza kufa kwa kiholo ukijua
Wajinga ndo maana wako hapa wanajiliza tuHalafu wanaonaga wakituambia hizo kazi za mama zao ndio watatuziba midomo.
Ukikumbuka kipengele cha manzi kuirudishia kama imechomoka ka roho kanaumaSema ka roho kanauma sana ukiona umepigiwa, na shida hujui jamaa amepiga mapigo gani yani.. 😅😅😅 mikunjo aliyokunjwa aki imagine tu moyo paaa
Jumapili njema mkuuNikiona mwanaume kaguswa panapouma nafurahi![]()

😅😅😅 anapaka mate au baby care iteleze vizuriUkikumbuka kipengele cha manzi kuirudishia kama imechomoka ka roho kanauma
Na wake za watu wanapindwa kinoma yani.. ukiwaza tu chozi latoka😂😂😂😂😂😂😂😂! Unawaza
inamana mwambaa kakuzidi parefuuuu😂😂😂😂!!!