Kugongewa mke inauma sana

Kugongewa mke inauma sana

Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Muulize "ze tumbili" jinsi "katelephone" alivyomuharibia hadi ndoa challiii! Katelephone hazeeki bhana ni picco kwenye nywele kwa kwenda mbele! PISI zina mkubali!
 
Kuna tukitu kinatembea kwa AKILI yangu kinaniambia mie sina😀🤓, Ngoja niende kwa mwamposa nikachukue maji ya baraka nikikemee😂😂, Ila nachukia hilo neno ishini nao kwa AKILI!!( women take advantage of it)
Wenye akili hawapati tabu na sisi ila wasio na akili sasa😂😂😂

Kama hauna akili usioe, kataa ndoa wote wanajijua hawana akili ndo maana hawataoa, tuipunguzie serikali mizigo isiyo ya lazima
 
Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Umefeli bwashee, hivi wewe ni kipi utakacho mpatia aridhike ambayo hakuwai kupata kwao?

Ebu fanyeni kazi, wewe si unaogopa kuzama chumvini sasa mkeo anafuata wachimba migodi ok
 
Wenye akili hawapati tabu na sisi ila wasio na akili sasa😂😂😂

Kama hauna akili usioe, kataa ndoa wote wanajijua hawana akili ndo maana hawataoa, tuipunguzie serikali mizigo isiyo ya lazima
Kuna swali fikirishi kwenye kichwa changu huwa najiuliza "Je walioshindwa kwenye ndoa zao WOTE HAWANA AKILi??, je mwanamke sio kiumbe mwenye utashi na maamuzi yake??, na nyie hampaswi kuishi nasi kwa AKILI!!, coz mazuri au mabaya yote tunayoweza kutenda na nyie mnaweza kutenda!!
 
Kuna swali fikirishi kwenye kichwa changu huwa najiuliza "Je walioshindwa kwenye ndoa zao WOTE HAWANA AKILi??, je mwanamke sio kiumbe mwenye utashi na maamuzi yake??, na nyie hampaswi kuishi nasi kwa AKILI!!, coz mazuri au mabaya yote tunayoweza kutenda na nyie mnaweza kutenda!!
Ndo maana mlisisitizwa kutumia akili, tuna akili kuwazidi nyie
 
Hili swali wanaume wengi hatulitaki kwa sababu tumeshajiwekea sheria kuwa mwanaume ni ruksa kuchepuka lakini mwanamke ni hapana. Na mbaya zaidi wanaume wanaopenda kuchepuka sana wana wivu siyo mchezo.
Ushaleft group nini ushawahi mwanamke kaolewa na wanaume wanne
 
Back
Top Bottom