Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 699
- 998
Kama ni kweli Pole.Habari za wakati huu ni mbaya..
Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.
Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.
Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi
NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Ww hujawahi kumsaliti ?
Kinachokuumiza ni kumuamini sio kukusaliti.
Nimekua Nina mashaka na hizi thread za kusalitiwa humu.
Kusalitiwa ni kama kuumwa ugonjwa Fulani ambao mtu mmoja unaweza kukupata na mwingine usimpate katika maisha yake.
Kinga ni Bora kuliko tiba, you don't have to trust anyone except you, Hio itakuwa bima Yako kwa ajili ya issues za mahusiano sio tu ya mapenzi hata marafiki, ndugu,jamaa na majirani. Pigo linalouma ni kutoka kwa unaemuamini. Live your life Man
.
nipe namba yake nikurahisishie jukumu
. We ushahidi uungoje kutoka kwangu . Mambo ya FAMCHEZO sio mazuri