Baada ya kukwambia hivyo umechukua hatua gani?
Kama shida ni tamaa za kimwili, it means ww huwezi kuzitatua, ndio maana kaenda nje. Swali ni je, anavyoomba msamaha, lengo ni usimuache, anamaanisha kuanzia sasa utaweza kuzitatua?
Siwezi kukushauri Nini cha kufanya,uhamuzi ni wako. Ila kwa upande wangu, pakiwa na weakness iliyopelekea cheating ambayo naweza kuirekebisha, basi huwa narekebisha then maisha yanaendelea. Ila kama chanzo cha kucheat siwezi kukirekebisha, basi huwa tunapeana mkono wa kwaheri. Maana soon or later yatajirudia yale Yale, maana tatizo halikuwa solved.