Kugongewa mke inauma sana

Kugongewa mke inauma sana

Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Wanaume wa Bongo shida. Mnapenda kugonga halafu mkigongewa mnalia utadhani mmefiwa? Hii ''chemical reaction'' haitasimama hata siku moja mpaka wamaume tutakapojiheshimu. Wanawake siku hizi wamefunguka macho. Akikuona unachepuka wala hakuulizi bali na yeye analipiza.
 
Kugongewa kuna uma ukiwa wewe ni limbukeni wa mbunye , napinga ndoa kabsa ila nawashauri wenye ndoa wafundisheni wake zenu mapenzi slama na matumizi ya kinga kwa sababu kugongewa hakukwepeki wakuu.
Ulichoongea ni muhi, u sana maana watu hawatumii condom
 
Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
MNM pole
 
Mi nakupa na spy app kabisa ili uone kila hatua mpaka jinsi atavyotafunwa ili mambo yasiwe mengi. Vijana wangu watakuwa around kuhakikisha usalama wa shughuli nzima.
Kuna mtu aliniomba nimtafutie hiyo app lakini nikaogopa anaweza kunidukua na Mimi badala ya yule alieniambia anataka kumdukua 😂😂. Nipe jina la hiyo app chief kama haihitaji kuwa na access ya mhusika
 
Wewe sema "Mke wangu hata nimpe nini haridhiki".
Kujumuisha wanawake wote ni kuwakosea sana wale wake wasiopata chochote kutoka kwa waume zao na wameridhika.

Huyo mkeo asiyeridhika si ana chura lkn?
 
Back
Top Bottom