Kugongewa mke inauma sana

Kugongewa mke inauma sana

Mwanamke akishaanza kugongwa nje hataacha huyo, hata aombe msamaha huku analia machozi ya kujaza pipa atarudia tu.
Uchaguzi ni wako umsamehe huku unajiandaa kuumia tena na kuja kutulilia hapa! au uachane nae kwa usalama wa afya yako ya mwili na akili.
Manake ukijua amegongelewa tena utajinyonga wewe unaonekana bado hujakomaa kuhimili vitu vizito.
 
Mkitukosea mara nyingi huwa tunasema tumesamehe ila sio kweli, na hapo ndo kuchepuka kunaanza,
Kama ni kuchepuka chepukeni muwezavyo
Kupiga pigeni mutakavyo
Kutukana tukaneni mtakavyo ila mioyo yetu ikichoka utaitatuta kamba ujitoe roho yako,

Ishini nasi kwa akili kama hauna usioe
 
Mwanamke akishaanza kugongwa nje hataacha huyo, hata aombe msamaha huku analia machozi ya kujaza pipa atarudia tu.
Uchaguzi ni wako umsamehe huku unajiandaa kuumia tena na kuja kutulilia hapa! au uachane nae kwa usalama wa afya yako ya mwili na akili.
Manake ukijua amegongelewa tena utajinyonga wewe unaonekana bado hujakomaa kuhimili vitu vizito.
Mwanamke kujiliza umsamehe anakutia moyo tu ila kuna ambacho kimempeleka huko na hutakaa ukijue.
 
Kile kidole ni noma 🤣🤣🤣 ushawahi jigonga hata na kona ya kitanda tu
Maumivu yake hayaelezeki sema huwa yanadumu kwa mda mfupi. Tofauti ya maumivu ya kidole na mapenzi ni muda tu. Kidole kinapoa haraka ila mapenzi 😂😂
 
Yaani binadamu mwingine,Tena mtu mzima,ahamue kuliwa kiungo chake,harafu wewe uumie??!maumivu yanakuja kwa sababu umeiambia akili yako kwamba huyu ni mali yangu hakuna mwingine mwenye haki ya kugusa!!jiondoe kwenye hiyo equation,ni hisia Fulani hv unaipata ni kama vile kudhalauliwa na mtoto wako,au watu unaowasimamia kikazi,ambao umejiambia una stahili wakupe heshima,wasipoitoa,unajisikia vibaya,badilisha jinsi ya kufikiri,mke akichepuka,wewe jiambie huyu katoa kitu chake,hakinihusu,
Uko sahihi kabisa tunachotakiwa wanaume kuacha kufunganisha nafsi zetu na sehemu za siri za wake zetu, tukiweza fundisha akili zetu ktk hili ziweze kuignore tutajikuta tunaishi maisha marefu mpaka tunaona wajukuu na vitukuu vyetu ila tukifatilia tutaishia kuona watoto wetu alafu wajukuu na vitukuu utavisikia ukiwa kaburini ni mkeo pekee tu ndo ataviona, hii technique wanawake wameimaster sana
 
Back
Top Bottom