Kugongewa mke inauma sana

Kugongewa mke inauma sana

Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpenini haridhiki... Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana.. kikubwa ni kuomba tuu Mungu usigongewe mke cz inauma sana na mke anauma sana aisee najua maomivu yake mimi eti.. Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

Nb..mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti ni samehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Acha kulia lia wewe. Unataka kuolewa au?
 
Aisee pole sana, kunywa mililita za ujazo 1000 za double kick , yaani double kick 5 utasahau hayo maumivu

images (17).jpeg
 
Tunajali sana na ndio maana tunachepuka kwa siri sana. Ni wazembe wachache sana ambao huona sifa kuchepuka hadharani.
Mngekuwa mnachepuka kwa siri sana tusingejua. Nyie mna siri gani mnachepuka wazi wazi yaani waaazi.

Ila nyie wanaume ni wazinzi sana sijui mna shida gani. Yaani nyie msione mwanamke tu nyege zimewashika. Msisafiri hata mlale lodge wenyewe mkiona kitanda nyege zinawakamata.

Hivi mna nini nyie.?
 
Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpenini haridhiki... Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana.. kikubwa ni kuomba tuu Mungu usigongewe mke cz inauma sana na mke anauma sana aisee najua maomivu yake mimi eti.. Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

Nb..mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti ni samehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Dah..pole mkuu.. ila mwache, wako wengi sana. Atakuua
 
Tunajali sana na ndio maana tunachepuka kwa siri sana. Ni wazembe wachache sana ambao huona sifa kuchepuka hadharani.
Thubutuuu, mnachepuka Hadi tunajua.....mfano Kuna mtu namjua alimfuma mume anachepuka, wakayaongea yakaisha, kumbe mume anaendelea na yule mchepuko....imepita miaka mitatu anagundua mume bado yupo na yule mchepuko.....bibie kuondoka hawezi anadai watoto watateseka......Sasa hapo akichagua mmoja kati ya wanaomtongoza akaamua kumsusia yote apoze machungu, atalaumiwa?😂
 
Mngekuwa mnachepuka kwa siri sana tusingejua. Nyie mna siri gani mnachepuka wazi wazi yaani waaazi.

Ila nyie wanaume ni wazinzi sana sijui mna shida gani. Yaani nyie msione mwanamke tu nyege zimewashika. Msisafiri hata mlale lodge wenyewe mkiona kitanda nyege zinawakamata.

Hivi mna nini nyie.?
Yani acha tu maana mie hata picha yako kila nikiiona napata hisia flani flani amazing sana. Ni kitu kipo automatic tu nadhani, hebu nifanyie wepesi basi nikuwe soja boy wako manzee
 
Back
Top Bottom