Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

hao ndugu zangu kazi ipo.....mchele umekua ubilionea siku hizi!!!!
Mkuu soma vizuri hii habari,issue ya ubilionia haitokani na ubwabwa uliopikwa bali unatokana na mali alizokuwa anamiliki!
 
Taja asset za mengi, bakhresa,ama mufuruki,,sasa bilionea gani hata asset zake huzijui?eti mpaka mke wake khaaaaaa?
Mkuu acaha ubabaishaji na ujuaji usiokuwa na maana,hivi wewe unaweza kuzitaja mali za uliowataja hapo juu kwa ufasaha?
 
Kama nia yako ni ubishi basi utaendelea kubisha mpaka basi,
ila pumba na mchele zinajulikana tayari,,bilionea hana ata kampuni?
Hana hata wafanyakazi? Hoteli basi ama tours company? Nehi



Mkuu acaha ubabaishaji na ujuaji usiokuwa na maana,hivi wewe unaweza kuzitaja mali za uliowataja hapo juu kwa ufasaha?
 
Ndege hiyo aliyoanguka nayo zinauzwa shilingi laki 5 za kitanzania,
boeng ambayo michael ngareko wa precision air aliinunua toka ATC alitoa milioni 60,xo huyo bob sambeke impact yake iko wapi ktk jamii?kutembea na garfrend ktk jeep ndio ubilionea?kweli hamnazo,jamaa aliwachezea akili mno



Kwani ndege siyo mali?wewe unamiliki ndege ngapi na za aina gani?acha kubeza mafanikio ya wenzio!
 
Kama nia yako ni ubishi basi utaendelea kubisha mpaka basi,
ila pumba na mchele zinajulikana tayari,,bilionea hana ata kampuni?
Hana hata wafanyakazi? Hoteli basi ama tours company? Nehi
Mkuu hizi taarifa wewe umezipata wapi?nani kakwambia hana hivyo ulivyovitaja hapo juu?
 
Ndege hiyo aliyoanguka nayo zinauzwa shilingi laki 5 za kitanzania,
boeng ambayo michael ngareko wa precision air aliinunua toka ATC alitoa milioni 60,xo huyo bob sambeke impact yake iko wapi ktk jamii?kutembea na garfrend ktk jeep ndio ubilionea?kweli hamnazo,jamaa aliwachezea akili mno

Baada ya kuanguka inaweza ikawa na thamani ya laki tano kama ulivyosema,vipi kabla ya kuanguka ilikuwa na thamani ya shilingi ngapi?
 
[TABLE="width: 636"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 54, bgcolor: transparent"]Ayubu[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]14[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]1[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Ayubu[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]14[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Jamani,kumili ndege, hata ikiwa imeisha muda wake wa matumizi ndo sifa ya kuwa bilionea (kama kwa pesa ya zimbabwe hapo in sound, huto tu ndege tu kukuu ndo tule tulizouzwa shilingi laki tano tano, kama bilionea mseme vitu vingine, lakini sio huto tu ndege
 
Ndege used ni kuanzia dola efu 10,000/- za kimarekani,kwa ulaya,ila kwa tanzania ndege ni kuanzia laki 5 na kuendelea.....

Baada ya kuanguka inaweza ikawa na thamani ya laki tano kama ulivyosema,vipi kabla ya kuanguka ilikuwa na thamani ya shilingi ngapi?
 
Ni kwa sababu hukumjua au hukuwahi kuishi karibu na mtu huyo ndio maana unapata shaka.
Kwa tuliomjua kwa karibu tunajua jinsi mwanaume yule alivyokuwa na uwezo wa kutisha wa senti, ikiwa ni pamoja na vision za hali ya juu za maendeleo.
Yeye alikuwa akiongelea kuhusu kuanzisha Flying School, kitu ambacho hata serikali haijawahi kuwaza hilo.

Kweli watu wa Arusha na Moshi mna matatizo sana. Sijui kigezo chenu cha mtu kuwa bilionea ni nini tu. Hapo nilipo-bold ndio kumfanya mtu awe bilionea? Je mimi ninayefikiria kulaza railway track Mza-Dar ya umeme kusafiri kwa masaa 3 tu? Si ndio kwa kiwango chenu nitakuwa trilionea?
 
Da kindege kama cha kunyunyizia madawa ya kuua panzi na ndege wa kweleakwelea kwenye mashamba nakumbuka vimeuzwa laki tano tano tu.Matajri wa Arusha wana mambo,mwaka huu wapambe watapata shida sana kwani''mabilionea ''wao kama watatu wote wanakufa kwa ''ajali'

ha ha haaaaaaaaaa hako ni katoy bana au kwa jina lingine ni parachuti watu wenye ndege wakiitwa yeye atatoka kweli?
 
Mkuu soma vizuri hii habari,issue ya ubilionia haitokani na ubwabwa uliopikwa bali unatokana na mali alizokuwa anamiliki!

Mimi nataka hapo kwenye nyekundu utaje hizo mali anazomiliki,manake hata kuku anamiliki mali
 
Kutokana na mali anazozimiliki huyu bilionea gani anamiliki ndege ya kizamani kama hiyo hakuna bilionea ambaye anakubali kupanda ndege kama hiyo ambayo si salama. Au nikuwekee ndege za mabilionea.
Unafahamu mali anazomiliki na pesa zaidi ya hizi ndege mnazozujua?

Kwa taarifa yako alikuwa akiwasafirisha kwa kuwakodishia viongozi mbalimbali wa kiserikali na taasisi za kijamii.

Unafahamu nyumba na assets nyingine anazomiliki?Unajuwa alikuwa akiwakopesha wafanyabiashara wengine?

Unashangazwa na billions za madafu?
 
Unafahamu mali anazomiliki na pesa zaidi ya hizi ndege mnazozujua?

Kwa taarifa yako alikuwa akiwasafirisha kwa kuwakodishia viongozi mbalimbali wa kiserikali na taasisi za kijamii.

Unafahamu nyumba na assets nyingine anazomiliki?Unajuwa alikuwa akiwakopesha wafanyabiashara wengine?

Unashangazwa na billions za madafu?

[h=1]Jet-setters: Billionaires with Expensive Private Jets[/h]

Bombardier-BD-700-Global-Express-interior.jpg
 
Back
Top Bottom